Haitakaa ijirudie

Watanzania tunaongoza kwa unafiki sijawai kujua kikwete uwa mnammis kwa lipi
Wewe ndio duni wa kupitia maandiko mbalimbali,kila mtu katika nafasi yake ukumbukwa akimaliza jukumu laje au akifa, ndio maana hakuna mtume hata mmoja aluyekubalika akiwa hai,jifubze hilo litakusaidia
 
Watanzania tunaongoza kwa unafiki sijawai kujua kikwete uwa mnammis kwa lipi
Hahahahaaaaa mkuu sometime zilesafar za ikulu picha za pamoja na mkuu zina raha yake na zina saidia kupunguza msongo wa mawazo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…