Hainess na Machamuli Updates!

Hainess na Machamuli Updates!

Borakufa

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2011
Posts
1,503
Reaction score
390
Viva CDM.

Wana JF waheshimiwa makamanda wa mwanza walipigwa transfer toka bugando mpaka muhimbili, tupeni taarifa zao sasa wanaendeleaje? maana ushindi mtamu unatufanya kama tunawasahau vile!! pls mwenye habari zao wanaendeleaje mwaga hapa watu tutulie.

Nawasilisha.
 
Viva CDM.

Wana JF waheshimiwa makamanda wa mwanza walipigwa transfer toka bugando mpaka muhimbili, tupeni taarifa zao sasa wanaendeleaje? maana ushindi mtamu unatufanya kama tunawasahau vile!! pls mwenye habari zao wanaendeleaje mwaga hapa watu tutulie.

Nawasilisha.
Not Machamuli! Ni Salvatory Machemli! We are still working out to find the updates! Get well soon Makamanda.
 
Not Machamuli! Ni Salvatory Machemli! We are still working out to find the updates! Get well soon Makamanda.

Asante mkuu kwa kunirekebisa nimeiweka sawa... umeona eeh!
 
Mungu awajalie afya. Wwmekuwa kama mashahidi wa Uganda.
 
nashauri waende hospital kama aga khan au regency....hizi hospital za serikali ya magamba hazina madawa na vifaa
 
Kwa kweli hili linasikitisha sana, kweli nchi yetu iko njia panda! Tunawaombea makamanda wetu mpone haraka. Ugueni pole.
 
Ila Hii ni Hatari sana!! Kiwira Polisi wameitwa Wachunguze Rushwa inayotolewa wao wameamua Kuwapiga Polisi Jamii waliosaidia Kuwakamata Wahalifu wa Rushwa!! Jamani imekaaje? Mwanza wao wamehisi Kuna Watu fulani wanafanya Kampeni ya Nyumba kwa nyumba! na kuamua kwenda na silaha kuwashambulia!! Je hawa wa kiwira nao wangetumia silaha amani bado ingebakia!! Jamani magamba mnatupeleka ndiko siko!!
 
Mkuu hata mimi nilikuwa najiuliza sana kuhusu mambo mawili muhimu 1. Makamanda wetu wanaendeleaje? 2. Kata zingine matokeo yakoje kwani najua kata 6 tu kwamba katika hizo Chaedema tumechukua tatu, Cuf moja na CCM 2 lakini sijui kuhusu kata zingine. tunaomba watu wenye habari kuhusu mambo hayo watujulishe
 
poleni sana wabunge wangu. Wishing you quick recovery
 
wasipochukuliwa hatua waliofanya hivi, chadema wawashughulikie wenyewe mmoja baada ya mwingine maana wanafahamika, huu ni ujinga kwa chama kikubwa kama CCM kuanza tabia za kizamani za kujifanya nterahamwe. ni wakati sasa wa waliobaki huko CCM ambao hawakubaliani na mambo ya walioishikilia ukiwemo mpango huu wa sasa wa kukata watu mapanga wajiondoe, maana angalau sasa wana uhakika kwamba kuna maisha nje ya CCM
 
kwani ushindi umekwenda chama gani pamoja na kutaka kutoa roho za watu bure?tujuzeni
 
dua zetu ziko kwa makamanda wetu, Mungu awapatie nafuu ya mapema, hayo ndio mateke ya mwisho ya magamba, lazima yatakuwa na nguvu sana, lakini tusitishike, ndio mwisho wake huo
 
:rockon: Wameshashindwa kufikiri, wanadhani kuna amani katika kutumia mapanga?
 
wakati umefika sasa ,dhuluma, uonevu na kila aina ya ghiliba sasa vinakwenda ukingoni. aluta kontinua mapambano bado yanaendelea.tuwaunge mkono makamanda wetu .nawaombea makamanda wetu walioumia wapone haraka ili warudi kufanya kazi waliyoiacha.
 
Sera hii ya magamba kuwavamia na kuwapiga viongozi,wanachama,washabiki wa vyama vya upinzani ndiyo inayoifanya izidi kutokomea na kuchukiwa kwa kasi na watz walio wengi.Mungu si dhalimu juu ya haya mnayotenda mtavuna mpandacho!!!!!!!!!!!!!!:nono: Get well soon Highess and Machemli
 
Kwakweli inabidii tukemee kwanguvu zote kuharamisha vikosi vya kijeshi vya CCM tulivyo viona pale Kirumba February 5. CCM wanavikosi vya kijeshi, je kila chama kikiwa na kikosi chake cha kijeshi tutasalimika. Tuungane kukemea na kuwachukulia hatua CCM na msajili wa vyama kwa kuruhusu CCM kuwa na jeshi.
 
Back
Top Bottom