Mkuu hata mimi nilikuwa najiuliza sana kuhusu mambo mawili muhimu 1. Makamanda wetu wanaendeleaje? 2. Kata zingine matokeo yakoje kwani najua kata 6 tu kwamba katika hizo Chaedema tumechukua tatu, Cuf moja na CCM 2 lakini sijui kuhusu kata zingine. tunaomba watu wenye habari kuhusu mambo hayo watujulishe
Kati ya kata 17 CHADEMA wameshinda 11 CCM 5 na CUF 1....From magic fm.
Sasa unashtuka nini?We Gamba nini?Usianye,habari ndio hiyo!!!!mkuu umenishitua jaribu ku mention hizo kata zote na mahali zilipo