Hainaga digirii

Status
Not open for further replies.
Huna jipya, huna la maana kila leo kusakama degree. Pole sana, hata kama ulilenga kufunza siku zote unaharibu kwa kumuuingiza mwanamke mwenzio unaeiiba mume wake, na usipoangalia uzee wako utakuwa wa shida, una mawazomgando, sikushangai wenye tabia za kung'ang'ania wanaume na kuwasakama wanawake wenzao siku zote wanamitazamo kama yako. una chosha maana huwezi anzisha topic yenye mlengo mwingine ni k tu, na kumsakama mwanamke mwenzio amekukosea nini?kaa jitafakari amekukosea nini kila ukianzisha topic ndani yake lazima umseme, pole sana. Mungu akuhurumia akufungue kwenye vifungo ulivyofungwa na shetani.
 
wewe lazima utakuwa hauna hiyo degree. kuna njemba liliniambia limesoma chuo fulani lakini kutwa linawakandia watu wanao-graduate, ooh eti yule naye anajidai ana ki-Masters uchwara. came to find out kumbe jamaa alikaa college miaka 6 na bado aka-disco!
 

Hahahaa haaaa Nimecheka
 

Mume haibwi ujue hilo. Sijamfunga kamba mtu. Zinaibiwa pochi na leso si watu. Kama mtu aibwa hebu nawe kaibe kama utaweza
 
Heri ya mwaka mpya jamani. Kwa kudrat za maulana tumeuona alhamdulillahi
 
elimu ndo kila kitu, na kla zuri huletwa na elimu, mapenz pia yana degree, je we unayo? rudi shule.
 
wanaoiba waume za watu halafu hawana degree watakufa polepole kama wafuasi wa kibwetere..lol!!

cc. da sophy
 
duh!!
Da Sophy una mbwembwe sa si ungeanzisha uzi mwngine ututakie heri ya mwaka mpya!?
 
Last edited by a moderator:

Kwa comment hii Da Sophy hakukosea hata hata kidogo lol.
 
Samahani mtoa mada, hivi hakuna mke wa mtu ambaye ni ngumbaru na mumewe ana nyumba ndogo?
Halafu, kwa 'elimu na uzoefu wa utu wa mwanamke ulionao ' ulishindwa kuwa wewe mke halafu ukafanya yale ambayo wenye degree wengi hawayafanyi mpaka umejitolea kuwa sijui kimada? aisee!
 

Huyu ni mume wangu ni kwamba tu alipotea njia pale mwanzoni akadanganyika na digirii. Alipogundua digirii siyo mke, ndipo akagutuka akaanza kutafuta upya. Na aliponipata mbona kapoa. Mwanaume ana raha na amani ndani ya roho. Nawaasa na nyie mlokuwa bado, ndoa siyo cheti. Usikurupuke kuandikwa jina kwenye cheti unaweza kuta magumashi. Tulia kwanza nenda tartibu ukishapata uhakika pasi shaka ndipo mkaandikishane majina kwene cheti cha ndoa. Hata huko madarasani mnapofanya mtihani, yule anokurupukia majibu pasi kufikiri mwishowe hufeli, na hata miye nishaona hata huko kwene kozi za digirii wapo wanofeli na kurudia mitihani mpaka wafaulu. Wengine wanaondoka wanahama chuo hiki wanaenda chuo chengine kusomea mambo tafauti na yale walofeli. Kwa hivo usiogope, ukigundua ulonae ulikosea majibu wala usijivunge babu, wa kwako yupo utampata tu. Unachopaswa kufanya ni kuthubutu kupuuzilia mbali hiko cheti na kuanza upya.
 
Wenye usomi wao watakuja juu oooh!!! hawa ni wkasababu ya shule lakni ukweli unabaki pale pale mwanamke aliyesoma ni majanga kwenye ndoa. Wanawaburuza wanaume utafikiri mikokoteni ndio maana mangumbaru tunasoko zaidi kwa waume zenu wasomi wenzenu.

Hapo ndo unaharibu ndugu, Kwa hiyo unajivunia kuwa wa kuchezewa na waume za Watu., Duuuhhh ckutegemea kam kuna watu wanajiskia raha kuwa hvyo, Huoni wivu Huyo bwana akienda sehemu yoyote ya maana na heshima anamchukua wife wake anakuacha wew Ngumbaru? Wew unatumika kwa siri tu na Siku ukitaka kujifanya ujulikana anakuwashia moto.
Tatizo la ngumbaru ni kuwa yey hana elimu na dunia ya sas hiv hela huipati kiholela kwa hiyo unachobaki kufanya ni kudeal na waume za watu ili uweze kuishi kama watu wenye elimu na kazi zao hapa mjini. Elimu ina heshima yake, kikubwa ni kuitumia inavyotakiwa.
 

Real miwanawake kama hii inaboa sana, kakaa kishari sana na ndo wale wanaoshinda kwa waganga kila siku kuchezea akili za waume wa watu.
Ni aibu sana na anatudhalilisha wanawake, yaani eti fahari yake ni kuwa na mume wa mwenzie,Duuuhhhh
 
The thing is, there is life outside kuonjeshana chumvi. Na hapo ndo umuhimu wa degree unapojulikana.

Neno "chumvi" umelitumia mara nyingi kwenye kuwasilisha hoja yako ukiwa na maana gani dada?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…