Haijaisha mpaka iishe, Simba tunaenda kupindua meza Misri, Tunaweweza!

Ni kweli hawana jipya ,, mchele mchele tu akina tau analipwa milioni 200 ni mavi tu,, ila sisi hatuna washambuliaji, kwaio watapita sio kwamba watapita kwakua wanajua mpira wa kutisha dunia na afrika bali watapita kwa uzoefu tu ..
Tunaenda kukutana nao fainali hao halafu ndio watatueleza waliwafungaje
 
Hawa watu wamechanganyikiwa
Muulize mara ya mwisho ahly kutolewa robo fainali ilikua lini
Yanga mara ya mwisho kufika robo ilikuwa lini? We sema Simba haina kikosi cha kuitoa ahly sio mambo ya mara ya mwisho ilikuaje.
 
Yanga mara ya mwisho kufika robo ilikuwa lini? We sema Simba haina kikosi cha kuitoa ahly sio mambo ya mara ya mwisho ilikuaje.
Namshukuru Mama Samia Hassani Suluhu kwa kutusaidia kufungwa goli moja
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Waarabu hawatishi kama tunavyowafikiria.

Kwa namna ya uchezaji tulionaa simba tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20.

Tumewakosa kosa sana haya makosa yakirekebishwa tunaweza kupindua meza Misri vizuri kabisa.

HAIJAISHA MPAKA IISHE
Naunga mkono hoja mjumbe...
 
Waarabu hawatishi kama tunavyowafikiria.

Kwa namna ya uchezaji tulionaa simba tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20.

Tumewakosa kosa sana haya makosa yakirekebishwa tunaweza kupindua meza Misri vizuri kabisa.

HAIJAISHA MPAKA IISHE
IMG-20240328-WA0777.jpg

Haya maneno yako ni kweliiii au ni mimi ndio naona vibaya...?
 
Waarabu hawatishi kama tunavyowafikiria.

Kwa namna ya uchezaji tulionaa simba tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20.

Tumewakosa kosa sana haya makosa yakirekebishwa tunaweza kupindua meza Misri vizuri kabisa.

HAIJAISHA MPAKA IISHE
Kwa Wachezaji hawa hawa Walioshindwa kufunga jana? Hiyo ni NDOTO
 
Back
Top Bottom