Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,081
Waarabu hawatishi kama tunavyowafikiria.
Kwa namna ya uchezaji tulionaa simba tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20.
Tumewakosa kosa sana haya makosa yakirekebishwa tunaweza kupindua meza Misri vizuri kabisa.
HAIJAISHA MPAKA IISHE
Kwa namna ya uchezaji tulionaa simba tumeweza kuwapress sana hawa waarabu na hata possesion ilikuwa upande wetu, shots on target za simba ni 7 wao ni 1 tu, total shots za simba zinakaribia 20.
Tumewakosa kosa sana haya makosa yakirekebishwa tunaweza kupindua meza Misri vizuri kabisa.
HAIJAISHA MPAKA IISHE