Tunawaheshimu sana wanajeshi wetu kutokana na nidhamu kubwa waliyonayo na waliyojengewa.
Sote tunaamini michezo ni Afya ,furaha lakini pia ni uchumi.
Uwekezaji kwenye michezo michezo licha ya kuwa na faida za kiafya,lakini pia unainua uchumi wa wachezaji mmoja mmoja na taifa kwa ujumla iwapo tutakuwa na wachezaji wenye ushindani wa kimataifa.
Hata hivyo ninasikitishwa na baadhi ya viongozi wa michezo wanaoongoza timu za jeshi kufanya maamuzi ya kupingana na sheria,taratibu na kanuni za michezo.Huu ni utovu wa nidhamu.
Kwanini JKT hawakupeleka timu uwanjani leo huku wakijua kabisa watakabiliwa na adhabu?
Sote tunaamini michezo ni Afya ,furaha lakini pia ni uchumi.
Uwekezaji kwenye michezo michezo licha ya kuwa na faida za kiafya,lakini pia unainua uchumi wa wachezaji mmoja mmoja na taifa kwa ujumla iwapo tutakuwa na wachezaji wenye ushindani wa kimataifa.
Hata hivyo ninasikitishwa na baadhi ya viongozi wa michezo wanaoongoza timu za jeshi kufanya maamuzi ya kupingana na sheria,taratibu na kanuni za michezo.Huu ni utovu wa nidhamu.
Kwanini JKT hawakupeleka timu uwanjani leo huku wakijua kabisa watakabiliwa na adhabu?