abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Ndio mana huwa nawadharau sana watu wengi wa aina ya mtoa mada.
watu wa kijani utawajua tu!!Baada ya mkutano wa Jana wa mh mbowe kukosa watu wameamua kuurudia Leo Ili tu wafute aibu ya jana kwa baadh ya wanachama kusafir kutoka sehem zingine kwenda kuupa nguvu mkutano wa chadema Leo mtaona jins watakavyo upamba pia editing zitakua nyingi Sana
Pia napenda kuwashaur chadema Waache ujinga wafanya siasa ya kichama sio ya Chuki Jana mkutano mzima wa mbowe alikua anaiongelea ccm ivi muda wote alio kaa bila kwenda kwenye jimbo lake alishindwa hata kuwaambia kwamba atawafanyia nn au kuwauliza Kuna kero gani au mm nimuulize watu wa Hai Mboe kawafanyia nn wanachi wake au jimbon kwake atawaambia nn watu ili wampigie kura au atawaambia wanatakiwa wapate tume huru
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuhizi jamiiforum ina WAJINGA-WAJINGA wasio na vichwa wala mkia
Hakuna mbunge yoyote aliyefanya lolote katika jimbo lake tusidanganyane.....mambo yote yanafanywa na serikali!Baada ya mkutano wa Jana wa mh mbowe kukosa watu wameamua kuurudia Leo Ili tu wafute aibu ya jana kwa baadh ya wanachama kusafir kutoka sehem zingine kwenda kuupa nguvu mkutano wa chadema Leo mtaona jins watakavyo upamba pia editing zitakua nyingi Sana
Pia napenda kuwashaur chadema Waache ujinga wafanya siasa ya kichama sio ya Chuki Jana mkutano mzima wa mbowe alikua anaiongelea ccm ivi muda wote alio kaa bila kwenda kwenye jimbo lake alishindwa hata kuwaambia kwamba atawafanyia nn au kuwauliza Kuna kero gani au mm nimuulize watu wa Hai Mboe kawafanyia nn wanachi wake au jimbon kwake atawaambia nn watu ili wampigie kura au atawaambia wanatakiwa wapate tume huru
Nilidhani ningepata points tafakarishi, nimepoteza dakika ya bure kusoma kitu ambacho hakina mantikiBaada ya mkutano wa Jana wa mh mbowe kukosa watu wameamua kuurudia Leo Ili tu wafute aibu ya jana kwa baadh ya wanachama kusafir kutoka sehem zingine kwenda kuupa nguvu mkutano wa chadema Leo mtaona jins watakavyo upamba pia editing zitakua nyingi Sana
Pia napenda kuwashaur chadema Waache ujinga wafanya siasa ya kichama sio ya Chuki Jana mkutano mzima wa mbowe alikua anaiongelea ccm ivi muda wote alio kaa bila kwenda kwenye jimbo lake alishindwa hata kuwaambia kwamba atawafanyia nn au kuwauliza Kuna kero gani au mm nimuulize watu wa Hai Mboe kawafanyia nn wanachi wake au jimbon kwake atawaambia nn watu ili wampigie kura au atawaambia wanatakiwa wapate tume huru
Sijawahi kujuta kuharibu mboni za macho yangu kama kitu hiki nilichokisoma. Mtoa mada hakuna chama kinachobebwa na polisi kama chama changu cha mapinduzi.Baada ya mkutano wa Jana wa mh mbowe kukosa watu wameamua kuurudia Leo Ili tu wafute aibu ya jana kwa baadh ya wanachama kusafiri kutoka sehemu zingine kwenda kuupa nguvu mkutano wa Chadema Leo mtaona jinsi watakavyo upamba pia editing zitakuwa nyingi Sana
Pia napenda kuwashauri Chadema Waache ujinga wafanya siasa ya kichama sio ya Chuki Jana mkutano mzima wa Mbowe alikuwa anaiongelea CCM, hivi muda wote aliokaa bila kwenda kwenye jimbo lake alishindwa hata kuwaambia kwamba atawafanyia nini au kuwauliza Kuna kero gani au mimi nimuulize watu wa Hai Mbowe kawafanyia nini wananchi wake au jimboni kwake atawaambia nini watu ili wampigie kura au atawaambia wanatakiwa wapate tume huru.
Hakina mantik sababu wewe na mbowe ni din moja ila ukwel ndio huo mmejaribu kuficha video na picha za mkutano ila watu wanazoNilidhani ningepata points tafakarishi, nimepoteza dakika ya bure kusoma kitu ambacho hakina mantiki
Wote tunadharauliana kaka usidhan kwakua wewe unanidharau mm nakueshim hata mm nakudharau Sana nakuona mjinga mana umeshindwa kuelewa upepo unavumia wapNdio mana huwa nawadharau sana watu wengi wa aina ya mtoa mada.
Kama mnavyo andikiwa nyie ila huo ndio ukwelHizi post huwa hawa watu wanaandikiwa.. Zitakuja nyingi za namna hii kwa mwaka wote huu
Jr
Wengine sio wanasiasa ila ni wachambuzi wa hoja mzitoazo nyinyi mnaojua ku analyse maswala ya kisiasa nchini.Hakina mantik sababu wewe na mbowe ni din moja ila ukwel ndio huo mmejaribu kuficha video na picha za mkutano ila watu wanazo
Sent using Jamii Forums mobile app
UkosahihiSikuhizi jamiiforum ina WAJINGA-WAJINGA wasio na vichwa wala mkia
Mkutano wajana nikweli ulikosa Watu bado natafakari nikwanini mkutano wa Mbowe ukose Watu.Baada ya mkutano wa Jana wa mh mbowe kukosa watu wameamua kuurudia Leo Ili tu wafute aibu ya jana kwa baadh ya wanachama kusafiri kutoka sehemu zingine kwenda kuupa nguvu mkutano wa Chadema Leo mtaona jinsi watakavyo upamba pia editing zitakuwa nyingi Sana
Pia napenda kuwashauri Chadema Waache ujinga wafanya siasa ya kichama sio ya Chuki Jana mkutano mzima wa Mbowe alikuwa anaiongelea CCM, hivi muda wote aliokaa bila kwenda kwenye jimbo lake alishindwa hata kuwaambia kwamba atawafanyia nini au kuwauliza Kuna kero gani au mimi nimuulize watu wa Hai Mbowe kawafanyia nini wananchi wake au jimboni kwake atawaambia nini watu ili wampigie kura au atawaambia wanatakiwa wapate tume huru.