Hahahaa haaaa u a nt serious.
Thanks bana
makusudi hayo wakati unafaham kwa kunipat@mokoyo
Anakufundisha kuwa responsible na pesa ambayo yeye ameitolea jasho.
Nidhamu ya pesa na vipaumbele ni tatizo la watanzania wengi, na ndio maana mawaziri wanaahirisha safari wasipopata 1st class ticket.
Anakufundisha kuwa responsible na pesa ambayo yeye ameitolea jasho.
Nidhamu ya pesa na vipaumbele ni tatizo la watanzania wengi, na ndio maana mawaziri wanaahirisha safari wasipopata 1st class ticket.
damn strait waziri ana haki ya kusafiri first class bwana...kuna sehemu nyingi sana za kusave money sio eti kusafiri first class....sasa kabaja nani mzabzab yupo economy na waziri nae yupo economy sii nitamuona ----- tuu.
sponsor wangu hataki nipendeze wala niwe na kitu chochote kizuri et kisa ananilipia ada alafu u can imagine am taking my second degree yaan nikienda kuonana naye naendaje rafu sitakiw kuwa hata na simu inayozidi elfu 50.... yaan sijui nifanyaje umaskin nomaaah
Mwaka juzi nilisafiri na Qatar airways tulikua na barozi wa sweden Tanzanja economy class!! Jiulize sasa wewe unaetaka waziri apande first class wakati hao wenye kuchangia budget yetu wapi sogea tukae!
sponsor wangu hataki nipendeze wala niwe na kitu chochote kizuri et kisa ananilipia ada alafu u can imagine am taking my second degree yaan nikienda kuonana naye naendaje rafu sitakiw kuwa hata na simu inayozidi elfu 50.... yaan sijui nifanyaje umaskin nomaaah
Huyo sponsor ana wivu wa kijinga. Kama umenipa pesa si juu yako kufuatilia naitumiaje.Huyu binti hajielewi ila Ndio wasichana wengi walivo wanapenda kuonekana nje vzr wakati uwezo hauruhusu Kama huyo sponsor wako anasoma hii trend nauhakika atasimamisha huduma zake!! Binti pesa ngumu Sana hadi mtu anakuambia hivo ujue anahitaji uwe na nidhamu hata kwa pesa utakayoipata utakapo simama mwenyewe!