Hahahahahahha! hii funga mwaka

Hahahahahahha! hii funga mwaka

bahaticaro

Senior Member
Joined
Jul 20, 2012
Posts
100
Reaction score
31
sponsor wangu hataki nipendeze wala niwe na kitu chochote kizuri et kisa ananilipia ada alafu u can imagine am taking my second degree yaan nikienda kuonana naye naendaje rafu sitakiw kuwa hata na simu inayozidi elfu 50.... yaan sijui nifanyaje umaskin nomaaah
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Anakufundisha kuwa responsible na pesa ambayo yeye ameitolea jasho.
Nidhamu ya pesa na vipaumbele ni tatizo la watanzania wengi, na ndio maana mawaziri wanaahirisha safari wasipopata 1st class ticket.
 
hebu funga mdomo wako, piga shule utakuja kuwa na sauti ya kuongea ukimaliza shule. heshimu mtu anayetoa hela kwaajili yako kwasababu kutoa hela kunaumaaa! wachache wana moyo huo.
 
sponsor wangu hataki nipendeze wala niwe na kitu chochote kizuri et kisa ananilipia ada alafu u can imagine am taking my second degree yaan nikienda kuonana naye naendaje rafu sitakiw kuwa hata na simu inayozidi elfu 50.... yaan sijui nifanyaje umaskin nomaaah


Dada bahati, kwa nini hii mada iko kwenye mahusiano na mapenzi? au huyo jamaa ni sponsor na wakati huohuo mpenzi?
 
Hivyo vitu vizuri wavinunua kutokea fungu gani la pesa?

Hata kama ni fungu lake msaidiwa; kama ananunua iPhone5 huyu mtu anastahili ufadhili kweli?

Honestly hata nami nina evaluate kabla sijatoa pesa yangu niliyoipata kutokana n'a kusaka nyoka porini. Unakuta watu wa huku, ana wake 4, bimdogo ni mdogo kuliko hata baadhi ya wanae n'a watoto 30 ananiomba msaada wa mifuko 2 ya cement au ada ya mwanae anayenda shule ya kata ilhali ikifika Idd el fitri kila mke anunuliwa kitenge cha wax.
Wakati mimi mamdogo wangu kanga aliyokuwa anajifunga mchana ndio shuka ya usiku na mumewe, na akaweza somesha watoto wote 7 kiasi kwamba sasa anakula pension tu.

Vipaumbele ni janga la kitaifa kwa kweli.
 
umemaliza, kuna hulka yetu wabongo kupania kupendeza wakati vitu vya msingi hatuvipi kipaumbele,umeshawaona wanawake wa kiswahili wale wanaoning'iniza dhahabu kedekede shingoni na mipete vidole vya mikono yote halafu bahatika kuona maisha ya watoto wao,lishe yao,shule wasomazo yaani ni huzuni tupu.

ha ha ha haaaaaaa ...........
 
umemaliza, kuna hulka yetu wabongo kupania kupendeza wakati vitu vya msingi hatuvipi kipaumbele,umeshawaona wanawake wa kiswahili wale wanaoning'iniza dhahabu kedekede shingoni na mipete vidole vya mikono yote halafu bahatika kuona maisha ya watoto wao,lishe yao,shule wasomazo yaani ni huzuni tupu.

Inasikitisha sana mkuu, kuna mmarekani mmoja tulikuwa tunamcheka na kumuita bahili maana alikuwa anapasha hadi uporo wa ugali (sio kwa toaster, ingawa alikuwa anaukata kama slesi), akila kuku, anakusanya mifupa kesho yake anaichemsha soup. Lakini kawasaidia waha wengi sana kimasomo na aluamua yeye asizae ili aweze kusaidia poor population kubwa iliyopo duniani sasa hivi.

EU wenyewe kinawauma tax money zao zinavyokuwa misused na élites wa Tanzania.
 
Soma kwanz mamb mengine yapo tu, kuna ambao wanautafuta huo ufadhili hawaupati we unahangaika na kupendeza wakat huna kitu
 
Hamna ulichoandika ni utumbo tu
kama ndio mimi nimekuona unaongea hivi utarudi nyumbani watu wanahangaika kutafuta hela ili usome wewe wataka kuuza sura
kama unataka kuuza sura nenda kajiuze ili uijue hela ilivyo ngumu au utafute mtaji uanze kuona ilivyokazi kupata hela tena huyo uliyenaye kama unaakili mshikilie kabisa kwa sababu anakujenga kuwa uwe na maisha mazuri kwa baadae
watu wengi wanateseka kwa kukosa maarifa wewe una simu ya laki tisa wakati huo huna hata mfukoni chochote na unaonekana kuwa una simu ya ghalama na umenunua kwa kuunga unga kazi kulia kwa watu sina vocha ooo mara sina leo hata usafiri ila kama ungeanzisha mtaji kwa hiyo hela ungefika mbali zaidi na simu ungekuja kununua kwa wakati
 
sponsor wangu hataki nipendeze wala niwe na kitu chochote kizuri et kisa ananilipia ada alafu u can imagine am taking my second degree yaan nikienda kuonana naye naendaje rafu sitakiw kuwa hata na simu inayozidi elfu 50.... yaan sijui nifanyaje umaskin nomaaah

Mhh ni sponsor tu! !?
by the way kwani kuwa rafu unapoenda kuonana nae tu ni tatizo?
ukitoka hapo c km kawaida tu jamani!
labda amegundua una matumizi mabaya
 
Anakufundisha kuwa responsible na pesa ambayo yeye ameitolea jasho.
Nidhamu ya pesa na vipaumbele ni tatizo la watanzania wengi, na ndio maana mawaziri wanaahirisha safari wasipopata 1st class ticket.
you have spoken mydear
 
Hata kama ni fungu lake msaidiwa; kama ananunua iPhone5 huyu mtu anastahili ufadhili kweli?

Asante kwa mawazo haya murua rafiki, unajua nilitaka lile swali limfanye afikirie mara mbili mbili...

Unajua vyovyote vile akijibu, bado atarudi pale pale kuwa anapaswa ajifunze kuwajibika...
 
Kwa vile uko chini yake na inabidi ufuate anachotaka. Zaidi simama kwa miguu yako na ufanye yanayokupendeza.
 
Anakufundisha kuwa responsible na pesa ambayo yeye ameitolea jasho.
Nidhamu ya pesa na vipaumbele ni tatizo la watanzania wengi, na ndio maana mawaziri wanaahirisha safari wasipopata 1st class ticket.

That was the highest stupidity, matumizi yasiyo na tija
 
Huyu binti hajielewi ila Ndio wasichana wengi walivo wanapenda kuonekana nje vzr wakati uwezo hauruhusu Kama huyo sponsor wako anasoma hii trend nauhakika atasimamisha huduma zake!! Binti pesa ngumu Sana hadi mtu anakuambia hivo ujue anahitaji uwe na nidhamu hata kwa pesa utakayoipata utakapo simama mwenyewe!
 
Naona walikosea mtu wa kumpa hiyo Sponsorship kwa sababu kuu mbili:

1: Inaonekana huna shida kiivo

2: Kwa thread hii naona kwa kuangalia uwezo wa kufikiri wangempa mtu mwingine.

No offense, ni mawazo binafsi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom