Kweli ushabiki ni mbaya hivi kuna nyimbo imehit Zaidi ya nan kama mama?
Hiv ni kweli mwana ni video bora?
Anachofanya diamond ni kuonyesha watu kua anaweza kuimba mziki wa aina yoyote kulingana na mashabiki wake.
Mnadharau Taarabu wakati imeshika namba 7 kwenye Top 10 za Beat FM Ya jijini Lagos!Na Diamond ameshawajulia ndio maana AMEKOMBA Mashabiki karibia asilimia 80% na 20%wengine wanagawana maana anaweza kufanya aina yoyote ya wimbo.atapata tuzo ya TAARABU
Uchonifurahisha umempigia debe diamond platnum baby,chibu dangote bila kujijua utalala na viatu mwaka huu..
Wimbo bora wa mwaka: Je, kuna wimbo bora zaidi ya Mwana?
Wimbo bora wa Afro pop: Je, upi zaidi ya mwana? Au unataka uniambie ule mchiriku wa mdogomdogo kutoka kwa jirani yetu? Hahahaha..
Mtunzi bora wa mwaka: Je, kuna mtunzi bora zaidi ya King aliyetunga Mwana? Au unataka useme mtunzi bora ni yule aliyetunga taarab na Khadija Kopa? hahahhaha..
Collabo bora ya mwaka: Je, kuna collabo bora zaidi ya King na mwanaFA "Kiboko yangu"? Au unataka useme eti ile collabo ya jirani yetu na shetta? Ptuuuuu!
Video bora ya mwaka: Je, kuna video bora zaidi ya ile mwana kutoka kwa King? Au unataka useme video bora ni ile ya jirani yetu ya 'Ntampata wapi' aliyocopy script za video ya 2face?
Mtumbuizaji bora wa mwaka: Je, kuna mtumbuizaji bora hapa nchini zaidi ya King anayekuchapia show za live band kwa sauti halisi tamu, au unataka kusema eti mtumbuizaji bora ni yule jirani yetu anayetumia back vocal na kukata mauono hovyo kama Aisha mashauzi?
Muimbaji bora wa Kiume wa mwaka: Je, nani kama King ambaye amehit bila video na Mwana hadi sasa Chekecha, Au unataka kusema eti ni yule jirani yetu anayebebwa na video za Godfather ambazo anazitoa hata 4 kwa mwez alafu zinachuja zote kwa siku 3 tu? hahahhaha.
TUKUTANE BAADA YA SIKU 1, TUTAHESHIMIANA TU.
we vipi! kwani diamond anafanya mziki tuzo au mziki hela?
Utabiri wa muelekeo wa mziki wa bongofuleva kwa kifupi: Mwaka huu hautakuwa mzuri kwa diamond nchini na Africa kwa ujumla. Tuzo za nyumbani nyingi zitaelekea kwa kiba na dimpoz. Kuhusu mapenzi pia muzamiri katunzi anampango Wa kutinga hospitali kisibiria kichanga chake kabla hakijabemwndwa na baba Wa kambo dayamondi
Duh huyo katunzi ni kama watu mlikuwepo kusaidia miguu ichanue au?
Duh huyo katunzi ni kama watu mlikuwepo kusaidia miguu ichanue au?
kwani miguu inachanuliwaga?
Hahaaa inabidi maana waliojua kwa madai yao ya wivu tendo lilitendeka na eti mimba akaingiza lazima walishikilia miguu ki hivi \-/ au /-\ huku macho yakiwatoka na kushabikia
Duh huyo katunzi ni kama watu mlikuwepo kusaidia miguu ichanue au?