Hahaha, Diamond hapa utatokea wapi?

Hahaha, Diamond hapa utatokea wapi?

Bongo kila kitu siasa, diamond wakati yupo international level anafanya collabo na kina Mr. Flavor, iyanya na p square, na ana show kila wiki ndani na nje ya nchi, nyie mpo busy kumpigia kampeni ally, wakati kazi zake ndo zilitakiwa ziongee zenyewe. Shit! Niggaz u need to grow up!
 
Hahahahaaa tujiandae na movies sasa kutoka kwa bwana chibu.
Kazi kwelikweli.Ile taarab siisikii huku kwetu ajabu hii na huku ndiko hasa taarab zinakobamba!

ahha mwanaume kalegeza sauti
 
Ushabiki mwingine ni wa kijinga.Mwenzenu;
1.Anapata pesa ya kutosha kutokana na kazi yake.
2.Ana nyumba nzuri ya kuishi na familia yake.
3.Ana mke na anatarajia mtoto.
4.Anabidiika kuipeperusha bendera ya taifa lake.
5.Anafanya Juhudi kuwainua vijana ambao ndio kwanza wanauanza muziki.
Richa ya hayo anafurahia maisha yake...
Jifunze kutoka kwake kwamba CHOCHOTE UNACHOTAKA KUFANYA KATIKA DUNIA HII,CHAWEZEKANA.Weka nia na Fanya kwa bidii.
Ebu log out nenda kajenge maisha yako..unapoteza muda wako bure.
 
Back
Top Bottom