Hafikishwi kileleni afanyeje?


Chepuka ukamtafute anaye kufikisha kileleni...na huyo asipo kufikisha mtafute atakaye kufikisha.....
 
Chepuka ukamtafute anaye kufikisha kileleni...na huyo asipo kufikisha mtafute atakaye kufikisha.....

..........na huyo asipomfikisha aendelee........... kuchepuka ampate atakayemfikisha..........
 
Kama yeye akifika kitandani au popote kwenye mechi hajishughulishi, anatega tu antena akisubiri kufikishwa basi atasubiri sana. Kileleni unafika mwenyewe kwa kusaidiwa na mwenzi wako. Haufikishwi!!!!
 

Mvumilie tu, atapona hajapata mganga mzuri. Kama vipi tumia viagra. But jaribu kumtengenezea juice ya Ginger au Garlic awe anatumia kama juice yake, baada ya muda mambo yatabadilika tu. Lkn pia, ngono imekuwa kama ndo ndio ndoa, lkn mi naona si sahihi ktk hili. Hujafa hujaumbika, kuna watu watakupotosha hapa hadi uvunje ndoa uende na michepuko. Tulia dada, mwamini Mungu na uombe pia. Ila kama uko sawa na wale wa ambiance pale, ruksa
 
Kitu nilichogundua ni mwanzoni alikuwa anafanya vema sana sana,ila mbele ya safari amebadilika,anaishia moja tuuu,si lazima mtu uambiwe but nimegundua hilo kutokana na maongezi yako,sasa je ana maumivu ya muda mrefu sehemu yoyote?
ajitahidi kula vyakula vya asili na kufanya mazoezi kila siku kwa mwezi 1,utakuja uniambie hapa hapa...
 
POle sana,
Ndio chaguo lako hilo. Perfect him.
 
kwani wakati wa uchumba hukulijua hilo tatizo?.Jamani wasichana wenzangu usikimbilie ndoa ilimradi na wewe uonekane umeolewa.halafu unaoneka huyo mumeo haukumpenda toka moyoni ndiyo maana hata kumvumilia unashindwa.

nenda kachepuke.
 

inaelekea wewe ni mwalimu mzuri sana.nikikaribia kuolewa naomba unifundishe zaidi.:clap2::clap2::clap2:
 

Ndio maana siku zote huwa nasema kuwa na waume au wake wengi kabla ya ndoa ni chanzo cha michepuko.Kama wote mngeoana na mkawa bikira basi nadhani mngejifunza pamoja na mkafikishana na hata kama asingekufikisha vizuri basi nadhani ungeelewa ndivyo ilivyo.Kwa umri wako wa miaka 24 huoni aibu kabisa kusema umetembea na wanaume tofauti yaani wengi, kukutana na fupi, nene, embamba, iliyojikunja ndio chanzo cha wewe kutofikishwa.Mimi nilijitunza kwa muda mrefu lakini mke niliepata kimsingi haniridhishi lakini kwa kuwa amenizalia watoto tena wanaofanana na mimi basi nimeamua kutulizana kwa sababu ya watoto wangu.Tulizana mama Ukimwi upo.Usishangae wahuni wakaanza kukutongoza.Ni pm nikuelekeze vyakula na jinsi ya kufanya ili mumeo awe vizuri.Nashindwa kufunguka vilivyo maana hili si jukwaa la mambo ya kikubwa.Bao moja linatosha kumfanya mwanamke akojoe zaidi ya mara tatu ilimradi tu mwanaume ajue jinsi ya kujizuia ili asifike mapema.Mabao mengi hayana tija kama mhusika amwaga kabla ke hajafika.
 
Capt Nemo ameeleza vizuri ni kufanyia kazi..kuchepuka siyo kuzuri Rose hiyo option idelete..ili uweze kufika juhudi zako pia zinahitajika,hautakiwi kumuachia mwenzio..magwaride yanatofautiana kama umezoea JWTZ itabidi uzoee JKT Shoga...mapenzi ubunifu be tactiful si mpaka aingize ndo ufike..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…