Hafikishwi kileleni afanyeje?

Hafikishwi kileleni afanyeje?

monn

Member
Joined
Dec 19, 2014
Posts
25
Reaction score
10
Naitwa Rose nina miaka 24 nimeolewa na kijana wa miaka thelathini, kabla yake nimekuwa na wanaume tofauti tofauti ambao walikuwa wananifikisha kileleni.

Ila mume wangu hanifikishi kileleni kabisa maana anaenda raundi moja tu kashachoka, analala kweli inaniuma ametumia dawa lakini wapi amekuwa hanifikishi kabisa natamani kuchepuka, ila naona nitakuwa nimemkosea sana jamani nifanyeje.

Ushauri tafadhali.
 
Sijakuelewa mantic ya kutumia dawa. Hasimamishi?
 
Kwa upande wako umejitahidi kiasi gani kuongea nae? je ulimwambia kua hakufikishi?au kumweleza kitu gani unapenda ufanyiwe ukiwa kwenye anga hizo? au wewe unamtayarishaje ili achelewe kumaliza na akufikishe wewe?
 
Rafiki yako ni mbumbumbu,kwanini asichague hao waliokuwa wanamfikisha kakimbilia kuolewa kwa mume bure? Kama kuna kitu kingine alichokifata kwa huyo mume bure aendelee kuwa nae!!
 
Preta

Haswaaaa daaa alikurupuka na kiu
 
Last edited by a moderator:
​Tatizo lenu mnajidai tutaduu baada ya ndoa na ndo madhara yake haya
 
Preta

Nilitaka mwambia hivi hivi,kabla hawajafunga ndoa hawakugegedana ama alipenda pesa akaona atavumilia tu.
 
Last edited by a moderator:
Mwambie rafiki yako aje nimpe dawa kwa kupitia kumgegeda yeye mwenyewe kwanza!
 
Kama alishawahi kuwa na wanaume tofauti tofauti maana yake ameshalala nao. Na hata huyo aliyemuona kabla ya ndoa nadhani pia alishalala nae. Sasa kabla ya hapo hakuliona hilo, au anakuja kulalamika tu baada ya kuolewa. Kama shida yake ilikuwa ni ndoa ndiyo hiyo keshaipata. Avumulie tu hakuna cha msaada hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom