Haelewi afanye nini msaidieni

JICHO LA TATU

JF-Expert Member
Sep 28, 2012
306
49
Habari zenu wajameni nina kaka yangu sasa yeye ana tatizo linamsumbua,Yeye alikuwa na uhusiano na binti mmoja wa kiarabu na akazaa naye mtoto wa kike ingawa katika mahusiano yao wao walipendana isipokuwa upande wa wazazi wa huyo binti wa kiarabu hawakua tayari kaka aishi na yule binti yaani kumuoa, kilichokuwa kinapingana ni utofauti wa dini.Sasa leo amepata habari kwamba binti katafutiwa mchumba na wazazi wake ambaye ni Mwarabu mwenzake hivyo anaolewa siku yoyote ndani ya wiki ijayo. Sasa hajui atafanya binti mwenyewe amechanganyikiwa c'z anampenda bro. Wote wawili hawaelewi wafanye nini tafadhali naombeni mawazo yenu katika hili.
 
Time will tell, awaache kwanza waoane.. Amtunze tu huyo chotara wake..!!!
 
hakuna ndoa hapo kifupi wazazi wa uyo bint hawamtakii mema mtoto wao coz usaliti utakua mwingi sana.Mwambie kaka ako apige moyo konde ajipange kwa kukutana guest na mwalabu wake
 
Mi nana hapo tatizo sio dini tuu bali pia ni rangi, 'Uarabu' na 'umatumbi'
 
Huyo binti age ya 23, bro 27

Kwa nini huyo binti hana msimamo??na kwa nini kaka yako aliwasikiliza wazazi wa binti,eti hawataki waoane kisa ni dini??hapo ndipo swali lilipo..Ndoa ni ya watu wawili,ambao katika muunganiko Mungu husimama kati yao...full stop!!Haijasemwa wazazi husimama kati yao......
 
Kwa nini huyo binti hana msimamo??na kwa nini kaka yako aliwasikiliza wazazi wa binti,eti hawataki waoane kisa ni dini??hapo ndipo swali lilipo..Ndoa ni ya watu wawili,ambao katika muunganiko Mungu husimama kati yao...full stop!!Haijasemwa wazazi husimama kati yao......


Lakini wazazi wana baraka zao nao katika hili
 
Lakini wazazi wana baraka zao nao katika hili

Baraka ni nyongeza mkuu....hata ukisoma kwenye biblia,si watu wote walibarikiwa!!!Kwa mfano,sisi wakatoliki tunaamini Bikira Maria alibarikiwa,hii haimaanishi kwamba mabikira wengine hawakuwepo,au walikufa kwa kukosa hizo baraka.Yaani...siunaona bro anavyoteseka.......Mpe pole bwana....lakini kwenye hayo mambo usipokua na msimamo..vitu huharibika,na hakuna atakayebeba aibu hiyo isipokua wewe....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom