Hadithi za Msolopa Ganzi

Hadithi za Msolopa Ganzi

killo

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2008
Posts
401
Reaction score
97
Hivi hizi hadithi zilikatazwa.. Kama jibu ni hapana, je wapi naweza pata vitabu vyake au audio zake.??
 
Audio zipo hata humu pana uzi ukizungumzia khabari hiyo ya Allan quartermain (makumazahn )na wenzake ndio kiliitwa ..pia pana cha lugha ya kingereza pia kipo humu wadau baadhi yao walijaribu hata kushusha baadhi ya mistari kutokana na kumbukumbu zao usake huo uzi nadhani mshana jr ndio aliuanzisha.
 
Hizo hadithi tulisoma sisi shule, zinapatikana katika kitabu cha allan quarterman. Lakini baadaye kikapigwa marufuku na utawala wa awamu ya kwanza.
Sababu ya kukipiga marufuku ni jinsi simulizi zake zilivyokuwa zinawakweza wazungu na kuwatweza waafrika.
Uki-google jina la kitabu, kinapatikana.
 
Hicho kitabu nnacho mm,mackienzie,wamo kina inkubu.umslopagaz mzee wa kizulu aliekuwa mlinzi na shoka lake linaitwa inkosi kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom