Hadithi ya kweli ya maisha yangu

unaposema uwe smart vibaya mnoo unamaanisha nini? naomba ufafanuzi.
Achana na hela hiyo itoe .sio lazima wanaume wote muwe na hela...mengine ni majaliwa..usmart naosemea mm uweze kutatua changamoto zozote zile...! Yaan hata kama hakuna msos mwambie mwanamke wako nipe muda nijur cha kufanya...yaan sisi tunapenda sana kusikia hayo maneno....mtot karudishwa ada atleast ongea neno la kujionesha uanaume wako bas nafsi yangu itulie ...atleast onesha unajali kwenda shulr na kuongea kiume yaani napenda UJIFARAGUE...kuna wanaume mtoto amerudishwa ada anakuambia mm sina hela unataka nikaibe!!imagine anakuambia hvyo alafu kesho unataka uheshimiwe๐Ÿ˜’๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜! Yaani jibidishe mzidi kila kitu mwanamke wako yaan ngumu sana kufurukuta..narudia ngumu sana..hata kama mwanamke atakua anahela lakini hawez fanya jambo bila kukuambia wewe....maana anajua unamjali kwenye changamoto zozote...sasa hela huna huna ushauri wala mawazo ,unaleta ukidume wako fyongo weeeee...kaa tu kwa kutulia!


Huu sasa mfano hai..majuzi nilikua na shoga angu yuko njema..mumewe mwalimu wa sec...mkewe anamiliki ishu fulani kubwa...na upande wa mke wanajiweza balaa...
Sasa bibi mtu kamchukua mjukuu amsomeshe sekondari(baada ya baba mtu kusema yy hana hela tena)...sasa mtoto karudi pasaka baba mtu anasema ohh nataka nisafiri naye nikachek shule mliyompeleka...umeelewa?? Yaan mkwe anakusomeshea first born wako ila unataka ukachek mazingira anayosoma mwanao na ni shule expensv ..yule bibi kwa maskio yangu nikamskia anamwambia mwanaye wa kike..anataka kuja kukagua shule aje na ada na usimpe nauli..atafute nauli yake..asitake kutupanda..ameshindwa msomesha mtoto unaleta ukidume hapa๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ! Kifupi dogo (mtoto)amepandaโœˆ kwenda shule kamuacha dingi na boxer (๐Ÿ)yake hapa Moro๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ!
 
dah nimekutafuta ibox sikupati, nakuomba inbox tutete kidogo...
 
nina maswahiba yangu tu, ushauri wako nikiupata utaniponya ndio maana nimekuomba pm
Yaan kama ni wa mapenzi mm hua niko straight sana nitakupoteza..thts y hunion jukwaa za mapenzi best...hahaha huko mm nna maamuzi magumu sana...labda yawe ya kijamii! Ila ukiniuliza sijui habar za demu wangu ananinyanyasa ntataka unyanyaswe zaidi akili ikuamke maana hamjitambui
 
sorry to ask
Kwa io ulikuwa na wanaume wawili at the same time??
 
Word! Yaan kama unanisemea mimi nilivyo hahahaaa....mpaka wife ananishangaaga navyotoaga simpe solutions under complex circumstances na zina work out.
 
Hujakutana na wanaume bado tembea tembea hlf ndo utaelewa wanaume wapo tofauti...

Anachokiongea huyu jamaa ni sahihi sana na kama hujawahi kutana na type hiyo ya wanaume basi labda una date watoto wa mama..
Pole
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]waaaafrika wana kichwa ngumu sana

In moi voice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ