Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,016
- 1,501
heri ya j'pili wakuu.
Kijana mmoja alienda kuchumbia, alipofika ukweni akakutana na baba mkwe wake. maongezi yakaanza huku yule kijana anatafuna big "G"...
Mzee: we kijana unaongea na Mimi huku unatafuna big "G"!!?
Kijana: nakata stimu mzee, nilikua navuta sigara.
Mzee:kumbe unavuta!?
Kijana:Jana nilikunywa pombe nyingi, ndio nazimua.
Mzee: Kwa hasira!!Na pombe unakunywa!?
Kijana:Nilijifunza nilipofungwa jela.
Mzee:Mungu wangu, na jela ulishafungwa!?
Kijana:Kulikua na mzee mmoja fala sana, nilikwenda kumposa bint yake akanikatalia, nikamuulia mbali.
Mzee:Lahaula. karibu baba, karibu mwanangu mke umepata.
Kijana mmoja alienda kuchumbia, alipofika ukweni akakutana na baba mkwe wake. maongezi yakaanza huku yule kijana anatafuna big "G"...
Mzee: we kijana unaongea na Mimi huku unatafuna big "G"!!?
Kijana: nakata stimu mzee, nilikua navuta sigara.
Mzee:kumbe unavuta!?
Kijana:Jana nilikunywa pombe nyingi, ndio nazimua.
Mzee: Kwa hasira!!Na pombe unakunywa!?
Kijana:Nilijifunza nilipofungwa jela.
Mzee:Mungu wangu, na jela ulishafungwa!?
Kijana:Kulikua na mzee mmoja fala sana, nilikwenda kumposa bint yake akanikatalia, nikamuulia mbali.
Mzee:Lahaula. karibu baba, karibu mwanangu mke umepata.