Hadithi: Mtambo wa mauti

Mkuu ahsante kwa riwaya, nje ya mada, naweza kupata wapi kitabu cha mbio za jasusi?
 
Nilikisoma zamani sana nikiwa shule ya msingi, google inaniambia Frolika Liyumit, Mashaka publications, 1989.

Kwa mara ya kwanza kusikia CIA, FBI, NIS, Visiwa vya Roben, kwa ufupi nilikipenda sana!
Samahani. Unaweza kwenda ofisi za mkuki na nyota ingawa sina hakika.
 
Aisee!?? Hakika Ben Ntobwa alikuwa ni Hazina Ya Utunzi katika Nchi Hii... Pumzikeni kwa Amani wewe na mzee mwenzio Elvis Musiba

Dah!!! Mkuu na wewe upumzike kwa amani. Hata wewe ulikuwa sihaba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…