Dah kama ulipewa go ahead tushushie vitu kaka..!
halafu kuna kitabu kingine...nakumbuka niliwahi kukisoma wakati mdogo, Joram alikuwa ameenda likizo kigoma kumsalimia babu yake...akakutana na balaa...! unafahamu Title yake nikitafute?
Dah kama ulipewa go ahead tushushie vitu kaka..!
halafu kuna kitabu kingine...nakumbuka niliwahi kukisoma wakati mdogo, Joram alikuwa ameenda likizo kigoma kumsalimia babu yake...akakutana na balaa...! unafahamu Title yake nikitafute?
mkuu kitabu ninacho lakini ruhusu kutoka kwa mmiliki wa Riwaya hii ndio kitu kilichonipa ugumu. Sijui kwanini ameamua kuiacha na inawezekana ni mbinu ya kibiashara. Kifupi naweza sana
mkuu kitabu ninacho lakini ruhusu kutoka kwa mmiliki wa Riwaya hii ndio kitu kilichonipa ugumu. Sijui kwanini ameamua kuiacha na inawezekana ni mbinu ya kibiashara. Kifupi naweza sana
mkuu kitabu ninacho lakini ruhusu kutoka kwa mmiliki wa Riwaya hii ndio kitu kilichonipa ugumu. Sijui kwanini ameamua kuiacha na inawezekana ni mbinu ya kibiashara. Kifupi naweza sana
Tofauti kubwa iliyopo kati ya elimu na pesa , ni kuwa kadri pesa inavyotolewa ndio inapungua, lakini elimu inavyotolewa ndio inaongezeka kwa mtoaji + mpokeaji,