Hadithi Hadithi!

Hadithi Hadithi!

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Mtoto anamuuliza baba yake;'baba,hivi ni kweli kila hadithi lazima ianze kwa maneno,"hapo zamani za kale......"? Baba mtoto akajibu;hapana mwanangu,hadithi nyingine zinaanza kwa maneno;"Endapo mtanichagua......."
 
Huyo baba alikuwa ni jiniasi. Nimeipenda hii!
 
Mtoto anamuuliza baba yake;'baba,hivi ni kweli kila hadithi lazima ianze kwa maneno,"hapo zamani za kale......"? Baba mtoto akajibu;hapana mwanangu,hadithi nyingine zinaanza kwa maneno;"Endapo mtanichagua......."

baba wa ukweli huyo........... safi sana u made ma day
 
Back
Top Bottom