Wanajifariji kisa magari ya washa washa yameanza kupatwa na kutu,Jana kariakoo kuna vipeperushi vilikua vinasambazwa wanataka kufanya maandamano kupinga kinachofanyika gaza
Tushawazoea nyumbu wetu hao πWanajifariji kisa magari ya washa washa yameanza kupatwa na kutu,
Watu wa daaaaaah....π π
Kama vp wachukue bahari ya Hindi wakaijaze kwenye hayo mahandakiAcha sasa wapelekewe moto. Na dunia ikae kikya hz gaidi zifumuliwe vzr. Israel pasua magaidi yote
Wapuuzi haoJana kariakoo kuna vipeperushi vilikua vinasambazwa wanataka kufanya maandamano kupinga kinachofanyika gaza
Washamba tu hao wa kuandamanaJana kariakoo kuna vipeperushi vilikua vinasambazwa wanataka kufanya maandamano kupinga kinachofanyika gaza
Hatari sana, yaani haya magaidi ya kidini yalikua yamejiandaa zaidi ya balaa, sema jeshi la Israel sio mchezo, limefumua mahandaki mengi sana ambapo watu walikua wanaishi kama fuko humo..................
Kwa hiki kipigo aise HAMAS wanafutika kweli.......
The Israel Defense Forces on Wednesday claimed it has destroyed 130 Hamas tunnel shafts since the start of the war, as Israel continues the "expansion" of its ground operation in Gaza.
"As part of the ground forces' activity in the Gaza Strip, IDF soldiers are currently working to expose and destroy Hamasβ tunnels," the statement said. "Since the beginning of the fighting, 130 tunnel shafts have been destroyed."
The IDF added that Hamas' "preparation for a prolonged stay in the tunnels can be seen based on water and oxygen means found in the tunnels."
IDF claims it destroyed 130 Hamas tunnel shafts in Gaza as ground operation continues
Thousands of Palestinians are fleeing northern Gaza as Israel continues its offensive in the war against Hamas. Follow for live news updates.edition.cnn.com
Wenyewe mmejionea suna haja ya kusema tenaπNilimsikiliza kiongozi wa Lebanon akihojiwa anailaumu Israel kwa uharibifu wa Gaza. Alipouliza Kuwa chanza Cha kuharibiwa kwa Gaza si shambulio la Hamas la October 7 lililouwa Mayahudi 1,400 wakiweno watoto na wanawake? Akasema ni haki ya Hamas kuuwa Mayahudi kwa sababu hawana ardhi pale lakini Siyo haki kwa Israel kuiharibu gaza
Syllabus ya madrasa inawaelekeza hvoWashamba tu hao wa kuandamana
si upuuzi mtupu kujenga mahandaki wakati unayemshambulia anajua umejificha huko. Mbona anakuja kuyabomoa kirahisi kwa kuwa anajua yaliko. Akili zingine za ajabu sana ni sawa na kujificha kwenye shamba la karanga ukidhani umejificha kwenye msitu mkubwaInaoneka hako kamji kagaza kamejaa tu mahandaki na inaonekana shughuli kubwa ya hako kamji ilikuwa ni ugaidi. Kwahiyo Israel kwa anachofanya yupo sahihi na inatakiwa afanye zaidi.
Hao ni Hamas