Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,014
- 95,521
Ina itwa web novel, iko play store au chrome.Course za Udem possible but not website za E-commerce
Ina itwa web novel, iko play store au chrome.Course za Udem possible but not website za E-commerce
Wakati huo yeye yupo UCC Mbezi Beach Kali Linux ulikuwa wimbo wake wa kutaka kututoa roho pale ndani.😂ni Kali Linux au
Naona pana mzaha Sana pale ndani.Sifahamu kwa kweli ila lazima wawepo
Ngoja niulize kwa wadau ntakuridiaIna itwa web novel, iko play store au chrome.
BaridiNgoja niulize kwa wadau ntakuridia
Kuna Matukio yanastuaga mfano DIt miaka michache nyuma site Yao ilivamiwa walihanja vibaya mno.😂ila watu wa cyber wanajitahidi hata hao wa huko udom
Let go deep web, here Fu*K aroundWhite hat hackers mpo wapi?
Cyber security experts let us meet here and exchange different ideas.
Mostly hawana, ni wachache sana tena ambao walifanya kazi kenye sekta hiyo. Lakin kama career yake imekuwa chuoni tu, atakupa mifano ya watu wengineKuna Matukio yanastuaga mfano DIt miaka michache nyuma site Yao ilivamiwa walihanja vibaya mno.
Hapa Kama mwanafunzi lazima urudi kujiuliza wanaokufunza ni wa level gani na Wana experience kiasi gani ?.
Nchi Inasubiri uhangaike mwenyewe uive ije ikusombe.Mostly hawana, ni wachache sana tena ambao walifanya kazi kenye sekta hiyo. Lakin kama career yake imekuwa chuoni tu, atakupa mifano ya watu wengine
Ngoja niulize kwa wadau mtakuridiaIna itwa web novel, iko play store au chrome.
BaridiNgoja niulize kwa wadau mtakuridia
wewe mbona mchokozi
Hapana nilikutag tu kwa upendo😁😁😁wewe mbona mchokozi
mimi nahack antennaHapana nilikutag tu kwa upendo😁😁😁
😂😂😂Sina antennamimi nahack antenna
lete antenna yako nihack.
Huwatakie mema,
Si unasikia wameruka na ile ya kule?
😁 Hacking is another thingHuwatakie mema,
Si unasikia wameruka na ile ya kule?
Huwatakie mema,
Si unasikia wameruka na ile ya kule?
😁 Hacking is another thingHuwatakie mema,
Si unasikia wameruka na ile ya kule?