Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Hi wakuu. Hawa ndo real hackkers. sidhani watu kama hawa wanaweza kushindiwa kupenetrate computer system yoyote ya Tanzania.
Ni kundi linajiitai LulzSec. Hawa jamaa kwa sasa ni tisihio na inaoekena ni watu wanaweza kuingia kwenye computer system yeyote.
Nimefaitilia story zao naona wao wanafanya hacking for fun. lakini kwa sony waliamua kuwakomoa sababu walimshataki mwenzao amabye alichakachaua game zao. Wame waha ck sony zaidi ya mara Nne.
Zaidi ya sony Ndani ya waki tatu zilizopita wamei hack system ya afya ya UK inaitwa NHS soma habari kamili hapa BBC News - Hackers warn NHS over security
alafu ona wanachowaandikia
Na juzi tu wamehakc website ya senate US. Soma hapa BBC News - Lulz attacks: US orders review as Senate site hacked
Alafu wanavyojiamini wapo twitter Twitter wanakuwa wanaeleza kila wanachofanya.
Hawa naona wanawazidi wale wanaojiita kundi la Anonymous hackers.
Ni kundi linajiitai LulzSec. Hawa jamaa kwa sasa ni tisihio na inaoekena ni watu wanaweza kuingia kwenye computer system yeyote.
Nimefaitilia story zao naona wao wanafanya hacking for fun. lakini kwa sony waliamua kuwakomoa sababu walimshataki mwenzao amabye alichakachaua game zao. Wame waha ck sony zaidi ya mara Nne.
Zaidi ya sony Ndani ya waki tatu zilizopita wamei hack system ya afya ya UK inaitwa NHS soma habari kamili hapa BBC News - Hackers warn NHS over security
alafu ona wanachowaandikia
............"While you aren't considered an enemy - your work is of course brilliant - we did stumble upon several of your admin passwords," the e-mail read.
It lists the stolen information - but blacks out the names in the tweet.
"We mean you no harm and only want to help you fix your tech issues," the mail continued.
Na juzi tu wamehakc website ya senate US. Soma hapa BBC News - Lulz attacks: US orders review as Senate site hacked
Alafu wanavyojiamini wapo twitter Twitter wanakuwa wanaeleza kila wanachofanya.
Hawa naona wanawazidi wale wanaojiita kundi la Anonymous hackers.