Mbowe aachie uenyekiti??? Jua litachomoza kutokea kaskazini
Akihojiwa na mwandishi redio Saut sasa anasema atagombea uenyekiti wa chama cha chadema na anasema atamshinda F.Mbowe.anasema chadema inahitaji mtu kama zzk ama yeye.
Anadema Mbowe hajawahi kushinda uchaguzi ndani ya chadema.
My take:Mchange ni small entity kuivuruga chadema.
Mchange hana sifa za kuwa mgombea ndani ya cdm kwakuwa sio mkristo
Akihojiwa na mwandishi redio Saut sasa anasema atagombea uenyekiti wa chama cha chadema na anasema atamshinda F.Mbowe.anasema chadema inahitaji mtu kama zzk ama yeye.
Anadema Mbowe hajawahi kushinda uchaguzi ndani ya chadema.
My take:Mchange ni small entity kuivuruga chadema.
nafasi ya uenyekiti wa chadema ni ya mbowe mpaka atakapomrithisha mwanae.
Mbowe ameachiwa mali ya urithi na mkwe wake, hao dagaa akina mchange wasahau
Akihojiwa na mwandishi redio Saut sasa anasema atagombea uenyekiti wa chama cha chadema na anasema atamshinda F.Mbowe.anasema chadema inahitaji mtu kama zzk ama yeye.
Anadema Mbowe hajawahi kushinda uchaguzi ndani ya chadema.
My take:Mchange ni small entity kuivuruga chadema.
Cha Ukweli alichokisema hapa ni kuwa Mbowe hajawahi kushinda uchaguzi.
Hili la yeye kugombea ni porojo tu, hana ubavu huo!
mmh kumbe mbowe hajawahi kushinda uchaguzi ndani ya CDM, alipataje kuwa kiongozi??
Akihojiwa na mwandishi redio Saut sasa anasema atagombea uenyekiti wa chama cha chadema na anasema atamshinda F.Mbowe.anasema chadema inahitaji mtu kama zzk ama yeye.
Anadema Mbowe hajawahi kushinda uchaguzi ndani ya chadema.
My take:Mchange ni small entity kuivuruga chadema.
Ukipita bila kuchangia waweza onyesha busara kuliko namna hii.Mchange hana sifa za kuwa mgombea ndani ya cdm kwakuwa sio mkristo