Jamani ndugu zangu wanaJamii Forums. Nimepokea taarifa za kifo cha mtoto wa Simba wa Vita- Rashid Mfaume Kawawa, Habiba Kawawa.
Habiba ambaye alikuwa kipenzi cha Mzee Kawawa, amefariki Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jioni hii ambako alikuwa amelazwa kwa matatizo ya uzazi.
Habiba alikuwa ameolewa na Maleko wakiishi Tegeta, jirani na Tegeta Bynight.
Nitawaletea zaidi baadaye.
Bwana ametoa. Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe.
Jamani ndugu zangu wanaJamii Forums. Nimepokea taarifa za kifo cha mtoto wa Simba wa Vita- Rashid Mfaume Kawawa, Habiba Kawawa.
Habiba ambaye alikuwa kipenzi cha Mzee Kawawa, amefariki Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jioni hii ambako alikuwa amelazwa kwa matatizo ya uzazi.
Habiba alikuwa ameolewa na Maleko wakiishi Tegeta, jirani na Tegeta Bynight.
Nitawaletea zaidi baadaye.
Bwana ametoa. Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe.
Habiba ni Lawyer by profession, mara ya mwisho nilimfahamu akiwa ni mwanasheria wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya. Ameolewa na kijana wa familia ya Mzee Humprey Maleko(RIP) aitwae Johson.Huyu ni yupi? yule aligombea NEC ya ccm?
R.I.P......! Kazi ya mungu haina makosa!
Huyu ni yupi? yule aligombea NEC ya ccm?
R.I.P......! Kazi ya mungu haina makosa!