chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 12,056
- 34,938
Hivi vyama vya upinzani ccm na ACT naona mnafanya mazoezi na kushikamana kusumbua UKAWA. Nyie jipangeni tu lakini tutawatandika wote na ruzuku tutawapimia kwa kibaba.
Katumia maneno makali nadhani mamlaka husika NEC, TCRA, MOAT watachukua hatua stahiki.