roja24
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 634
- 406
Anataka kuthibitisha huoo USIMAMIAJI KUCHA....sababu kwa hiyo 4,5 mil HUWEZI KUPATA PREMIO labda ilopata ajali ukainyooshe mwenyeweukishaiona itakusaidia nini?
Anataka kuthibitisha huoo USIMAMIAJI KUCHA....sababu kwa hiyo 4,5 mil HUWEZI KUPATA PREMIO labda ilopata ajali ukainyooshe mwenyeweukishaiona itakusaidia nini?
Hata Bajaj kwa Bei hiyo Anaeza kupata Ila ndio itakuwa ngarangara balaa.Bajaj 4.7m
kuna watu wana shida....Anataka kuthibitisha huoo USIMAMIAJI KUCHA....sababu kwa hiyo 4,5 mil HUWEZI KUPATA PREMIO labda ilopata ajali ukainyooshe mwenyewe
Mbona engine kufanyiwa overwhole ni sehemu ya service, engine yenye cc chini ya 2000 unakuta imetembea 150,000 km hivi ring piston zitakuwaje? Ndio humu malalamiko hayaishi magari kula mafuta na unakuta ka stalet kanatoa moshi hadi ukikakalia nyuma inabidi uwashe FOG LIGHTUtapata kwa hiyo hela ila kuna mawili, either injini imefanyiwa overwhole lakini body imesimama, ama body imekuwa repainted zaidi ata ya mara 10 lazima injini imesimama vema. Jitahidi uwe na 6m hapo utapata gari ya maana ambayo haitakusumbua sumbua