Abuu Rayhaan
Member
- Aug 2, 2023
- 15
- 9
Habari zenu wana jamii forums mimi ni kijana kutoka zanzibar naomba ushauri wenu juu ya biashara ya nyanya kutoa daa kuleta zanzibar na conection maana zanzibar tunapigwa sana
Bei ya nyanya Znz ikoje?Habari zenu wana jamii forums mimi ni kijana kutoka zanzibar naomba ushauri wenu juu ya biashara ya nyanya kutoa daa kuleta zanzibar na conection maana zanzibar tunapigwa sana
FAFANUA MZEE. MNAPIGWA KIVIPI? 🙏Habari zenu wana jamii forums mimi ni kijana kutoka zanzibar naomba ushauri wenu juu ya biashara ya nyanya kutoa daa kuleta zanzibar na conection maana zanzibar tunapigwa sana
Usichukue Dar utapigwa mara 2, tafuta connection za kutoka shamba kama ni Iringa au Morogoro. Ujue wapi utapakilia mzigo kwenye boti,kama ni bandari ya Tanga,Kipumbwi,Bagamoyo,Dar es Salaam ili gari likitoka mkoani ije moja kwa moja unapopakia
bei juu sanaFAFANUA MZEE. MNAPIGWA KIVIPI? 🙏
bei haitabiriki ikipanda sana boksi 1 kubwa laki na 10 - 20 ndogo laki 1 mpaka laki na 10 ila saiv zimeshuka sana hadi 60 unapataBei ya nyanya Znz ikoje?
eeh nitoe uko ila nataka ile ya kenyaWataka baishara ta tungule yakhee??
Kwa Morogoro aje nimpeleke mashamba yalipo,akitumia bandari ya Bagamoyo anapakia kwa gari za Moro-Bagamoyo Abuu Rayhaan[/
[/QUOTE]
Wewe njoo temeka stereo na laki moja yako uchukue vitunguu faida ni pasu kwa pasu au pengine kupelea kidogo au kuzidiPia naomba ushauri kwa mwenye uzoefu wa biashara ya kitunguu maji na mtaji wa kuanza nao na pia conection
Ushindani wa biashara ya tungule kwa dar ni mkali sana,utaingia gharama kubwa na hutaweza kupata faida,fanya utafiti hukohuko zanji utayoboaHabari zenu wana jamii forums mimi ni kijana kutoka zanzibar naomba ushauri wenu juu ya biashara ya nyanya kutoa daa kuleta zanzibar na conection maana zanzibar tunapigwa sana
Soko ni zuri Ila pata connection ya Tanga na Iringa directHabari zenu wana jamii forums mimi ni kijana kutoka zanzibar naomba ushauri wenu juu ya biashara ya nyanya kutoa daa kuleta zanzibar na conection maana zanzibar tunapigwa sana
Tungule ni biashara gani hiiWataka baishara ta tungule yakhee??
Nyanya (tomato ) wazanzibar wanaziita tungule wenyeweTungule ni biashara gani hii
Kumbee ila biashara ya tungule ni ngumu hii inataka wazoefuNyanya (tomato ) wazanzibar wanaziita tungule wenyewe
Kwa yeye itamuwia ngumu sana ni bora afanye ya vitunguuKumbee ila biashara ya tungule ni ngumu hii inataka wazoefu