habari za mda huo jamani naomba ushauri

habari za mda huo jamani naomba ushauri

Ushindani wa biashara ya tungule kwa dar ni mkali sana,utaingia gharama kubwa na hutaweza kupata faida,fanya utafiti hukohuko zanji utayoboa
zanzibar tunategemea nyanya kutoka mikoani na ya kenya huku hakuna mashamba makubwa na ata ukifika msimu wa huku hadumu sana ndo maana nikataka nitafute uzoefu na ushauri humu maana ao wanao tuuzia wanatoa mikoan na dar iyo ya kenya
 
Back
Top Bottom