UNAPOSOMA au kusikiliza habari zinazoandikwa na magazeti fulani fulani nchini ambayo yana wenyewe au kusikiza za redio za wenyewe au kutazama televisheni ya mwenyewe jiulize maswali kadhaa na hasa kama magazeti hayo yanaandika habari za wanasiasa wa vyama mbadala.
Inavyoelekea VISHENI ya vyombo hivyo vya habari NI KUWA NA TANZANIA ISIYO NA DEMOKRASIA NA USHINDANI WA HAKI NA HALALI WA KISIASA.
Na MISHENI ya magazeti haya ni kuandika habari za umbeya, uchochezi na unafiki chini ya mwamvuli wa watawala na kuhakikisha Watanzania wanabaki daima katika giza kuhusu faida na manufaa ya ushindani na demokrasia.
Waandishi wake kwa maneno machachi ni WAHUJUMU WA DEMOKRASIA na misingi yote ya uandishi wa habari unaojali ukweli, haki na maslahi ya walio wengi.
Kuna watu unaweza kuwatema mate, lakini hawa wanafaa kuwapengea kamasi popote pale utakapowaona.
Inavyoelekea VISHENI ya vyombo hivyo vya habari NI KUWA NA TANZANIA ISIYO NA DEMOKRASIA NA USHINDANI WA HAKI NA HALALI WA KISIASA.
Na MISHENI ya magazeti haya ni kuandika habari za umbeya, uchochezi na unafiki chini ya mwamvuli wa watawala na kuhakikisha Watanzania wanabaki daima katika giza kuhusu faida na manufaa ya ushindani na demokrasia.
Waandishi wake kwa maneno machachi ni WAHUJUMU WA DEMOKRASIA na misingi yote ya uandishi wa habari unaojali ukweli, haki na maslahi ya walio wengi.
Kuna watu unaweza kuwatema mate, lakini hawa wanafaa kuwapengea kamasi popote pale utakapowaona.