Habari ya Clouds TV mmenunuliwa na CCM?

Habari ya Clouds TV mmenunuliwa na CCM?

Zgerald95

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2012
Posts
235
Reaction score
59
Navyojua mimi ni mwiko kwa chombo cha,habari kuonesha hisia zake binafsi,juu ya jambo fulani.

Nimestaajabu naangalia habari sasa hivi hapa inaonesha wazi kabisa hawajalizishwa au kufurahia uamuzi wa EL kuhamia CDM.

Hamuoni mnakiuka miiko ya uandishi wa habari? badiliken co siri mnaboa tambueni kwamba watazamaji wenu wana interest tofaut tofaut hivyo c vyema ku base upande wenu.

Kutokana na interest zenu binafsi, jukumu lenu ni kutoa habar sio kuwa lazimisha watu kuamini mnavyotaka nyie.
 
Hizo ni dalili za kukosa weledi wa kazi wanayofanya kwa hiyo wameamua kujipendekeza, mtu yeyote anayejiamini hawezi kujikomba hasa kwa watawala. Na historia ya nchi nyingi zinazoendelea utakuta mara nyingi vyombo vya habari vya binafsi huwa vinajitahidi kuwa huru na kugongana kimaslahi na serikali iliyoko madarakani, hawa hawajiamini ndiyo maana wanajikomba
 
Clouds media inaendeshwa kwa remote control na Wakurugenzi wake
 
hahahahaha. ITV ya wachagga/chadema........bora nixkilize zangu azamu TV
 
Uliyataka mwenyewe ww ulikuwa unaangalia clouds ya nini!! !? Mwenzio naangaliga itv na azam TV tu
 
washazoea vya bule bule ao sasa wahaha watashika wapi..aje kusaga abishe tena kama clouds sio tbc 3
 
TV ya taifa wap wewee acha uboya itv ni ya kiboya sanaaa hbr za meng inawezwa rushwa hata dakika 20 alaf anamsema manji tuu huu si ungese tuu kwa tv kuwa sehem ya mmilik kutoa mipasho yakee!
Wivu tu umekujaaa huna lolote itv ndio television ya taifa kama hutaki hama inchi gamba la CCM ww
 
Walichojisahu clouds wanadhani kikwete aliyewabeba atatawala maisha.
Wananchi wana akili sio wote wapenda bongo fleva wote
Soon watageuka kama TBCccm
 
Back
Top Bottom