Habari wana Jukwaa la Elimu.

Akwota

JF-Expert Member
Dec 15, 2016
792
633
Nina ndugu yangu alihitimu kidato cha nne mwaka jana na kufanikiwa kufaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza(1.17),ambapo amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga kidato cha tano katika(Combonation ya CBG),Sasa swala linakuja kwamba HATAK kabisa kwenda kidato cha tano badala yake anataka kwenda kusoma Stashahada Maalum ya Ualimu wa Masomo ya Sayansi(Kemia na Baiolojia),je hatua zipi ambazo tunaweza kufanya ili aweze kubadili kutoka huko alikochagiliwa ili aende Chuo mwaka huu?,tumembembeleza sana aende kidato cha tano lakini amekataa.

Msaada ndugu zangu!
 
Nina ndugu yangu alihitimu kidato cha nne mwaka jana na kufanikiwa kufaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza(1.17),ambapo amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga kidato cha tano katika(Combonation ya CBG),Sasa swala linakuja kwamba HATAK kabisa kwenda kidato cha tano badala yake anataka kwenda kusoma Stashahada Maalum ya Ualimu wa Masomo ya Sayansi(Kemia na Baiolojia),je hatua zipi ambazo tunaweza kufanya ili aweze kubadili kutoka huko alikochagiliwa ili aende Chuo mwaka huu?,tumembembeleza sana aende kidato cha tano lakini amekataa.

Msaada ndugu zangu!
Stahahada hyo imeanza lini sio ile ilofutwa na magu
 
Nina ndugu yangu alihitimu kidato cha nne mwaka jana na kufanikiwa kufaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza(1.17),ambapo amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga kidato cha tano katika(Combonation ya CBG),Sasa swala linakuja kwamba HATAK kabisa kwenda kidato cha tano badala yake anataka kwenda kusoma Stashahada Maalum ya Ualimu wa Masomo ya Sayansi(Kemia na Baiolojia),je hatua zipi ambazo tunaweza kufanya ili aweze kubadili kutoka huko alikochagiliwa ili aende Chuo mwaka huu?,tumembembeleza sana aende kidato cha tano lakini amekataa.

Msaada ndugu zangu!
Hakuna hatua za kufuata kubadili hapo ata kidogo kikubwa asubiri dirisha la maombi ya vyuo vya ualimu ataomba kwa sasa bado hawajafungua.
 
Hakuna hatua za kufuata kubadili hapo ata kidogo kikubwa asubiri dirisha la maombi ya vyuo vya ualimu ataomba kwa sasa bado hawajafungua.
Ok,ahsante ndugu,"Hili dirisha linafunguliwa lini ndugu"(samahan kwa usumbufu).
 
Nina ndugu yangu alihitimu kidato cha nne mwaka jana na kufanikiwa kufaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza(1.17),ambapo amefanikiwa kuchaguliwa kujiunga kidato cha tano katika(Combonation ya CBG),Sasa swala linakuja kwamba HATAK kabisa kwenda kidato cha tano badala yake anataka kwenda kusoma Stashahada Maalum ya Ualimu wa Masomo ya Sayansi(Kemia na Baiolojia),je hatua zipi ambazo tunaweza kufanya ili aweze kubadili kutoka huko alikochagiliwa ili aende Chuo mwaka huu?,tumembembeleza sana aende kidato cha tano lakini amekataa.

Msaada ndugu zangu!
Nitafute pm mkuu
 
Back
Top Bottom