M Motecky Member Jun 21, 2012 12 2 Jun 21, 2012 #1 Napenda mtambue uwepo wangu ndani ya jamii hii kubwa yenye watu wenye fikra adilifu na makini.Napiga hodi natumaini nitapokelewa.
Napenda mtambue uwepo wangu ndani ya jamii hii kubwa yenye watu wenye fikra adilifu na makini.Napiga hodi natumaini nitapokelewa.
stineriga JF-Expert Member Jun 20, 2012 2,172 886 Jun 22, 2012 #6 umeshapokelewa ndugu, njoo tujumuike na jf,