black mamba
New Member
- Aug 27, 2012
- 2
- 0
Nimekuwa nikifuatilia topics mbalimbali humu JF kama guest, nimeona umefika wakati wa kuwa member wa JF.
Naomba kukaribishwa na wenyeji. Asanteni sana.
Naomba kukaribishwa na wenyeji. Asanteni sana.
hahahaaah!! Sumu yake inafaa sana baadhi ya watu kule jukwaa la siasa.Welcome.. angalia 2 usigonge watu asee.. maana una sumu kali sana
hahahaaah!! Sumu yake inafaa sana baadhi ya watu kule jukwaa la siasa.
Lile ni jukwaa ni ukanda wa hatari, ukiwa siriaz sana unaishia jela.Yap mkuu, kule kuna vigamba balaa, Dah lile jukwaa la siasa kuna mda uvumilvu unanshindaga asee
Lile ni jukwaa ni ukanda wa hatari, ukiwa siriaz sana unaishia jela.
Nimekuwa nikifuatilia topics mbalimbali humu JF kama guest, nimeona umefika wakati wa kuwa member wa JF.
Naomba kukaribishwa na wenyeji. Asanteni sana.