Habari wakuu

Habari wakuu

Hao wenye bluetick ni wale wanaolipia, n laki moja kwa mwezi.

Karibu PM ili nikupe maelezo zaidi pamoja na namba ya mpesa ili uweze kutuma hayo malipo ili nawe uwe na bluetick.
 
Atapigwa achakae 🤣🤣😂
Kila kitu kina utaratibu mkuu, watu wengi sana humu nimewawekea bluetick, kuna bluetick ya gold inakuja na premium features kama vile

1: Kufuta mada
2: Ukimblock mtu haoni content zako
3: Kufuta comment za wengine kwenye mada yako n.k

Premium features ni nyingi mno ambazo nyie regular hamzipati
 
Kila kitu kina utaratibu mkuu, watu wengi sana humu nimewawekea bluetick, kuna bluetick ya gold inakuja na premium features kama vile

1: Kufuta mada
2: Ukimblock mtu haoni content zako
3: Kufuta comment za wengine kwenye mada yako n.k

Premium features ni nyingi mno ambazo nyie regular hamzipati
Mbona wewe huweki mkuu? Au hupendi kujionesha.
 
Back
Top Bottom