Mikoa ya Rukwa,Mbeya,Ruvuma na Iringa haihitaji wawekezeji wa kilimo wanahitaji MASOKO ya uhakika na RUHUSA ya kuuza ziada nchi jirani.
Ikiendelea hivi msishangae tukaletewa wawekezaji wa kuzaa na wake zetu ku-imrove kizazi kijacho lol!
Mikoa ya Rukwa,Mbeya,Ruvuma na Iringa haihitaji wawekezeji wa kilimo wanahitaji MASOKO ya uhakika na RUHUSA ya kuuza ziada nchi jirani.
Ikiendelea hivi msishangae tukaletewa wawekezaji wa kuzaa na wake zetu ku-imrove kizazi kijacho lol!