ningekuelewa kwenye zantel regarding speed (ingawa ni expensive) voda na tigo sijui umetumia kigezo gani.., truth be told Airtel kwa sasa unapata value for moneyhawana jipya hawa,ile 3.75G ni kwenye matangazo tu
bado zantel ,tigo na voda wako juu ya hawa
Acha chai ww.... Huwezi download 600kbps kwa Airtel bt Voda na Tigo u can. WW wa wapi weyeningekuelewa kwenye zantel regarding speed (ingawa ni expensive) voda na tigo sijui umetumia kigezo gani.., truth be told Airtel kwa sasa unapata value for money
let give credit where's credit due
Nilishindwa hata nianze wapi kumjibu, speed pia inategemea na location lakini on average zantel speed yake ni kubwa (ila kwa bei yake ni expensive) voda na tigo sioni cha kuwasifia kwakweli hususan voda walivyooanza kuona kwamba 700mb ndio unlimited internet...@Biohazard hiyo spidi unayoipata wewe kwenye line zako za voda na Tigo (600kbps) mbona ni ndogo sana hata smartphone za sshv zinagonga 21Mbps ambayo ni equivalent to 2.63MB/s.... Hiyo 600kbps ni sawasawa na 75KB/s ambayo ni kidunchu! Airtel ndio provider bomba wa Internet,,