chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
siku moja simu yangu ilitaka kuflashiwa baada ya kutofanya kazi vizuri. Kwa mazingira niliyokuwepo mtandao uliopo ni Airtel na nilikuwa na kifaa chao cha internet. Simu ilikuwa na mambo mengi unajua tena simu ukishafanya ofisi yako.
Nika nunua bando la mifi linanalopatikana kwenye internet elfu 20,000 ambayo GB 11 siku 30. Simu ilitaka file GB 6 na sijatumia chochote ila ilipo fika GB 4.8 nikapata ujumbe umetumia asilimia 70%.
Hivi hawa Airtel wanatatizo gani?
Nika nunua bando la mifi linanalopatikana kwenye internet elfu 20,000 ambayo GB 11 siku 30. Simu ilitaka file GB 6 na sijatumia chochote ila ilipo fika GB 4.8 nikapata ujumbe umetumia asilimia 70%.
Hivi hawa Airtel wanatatizo gani?