Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Wakati wakazi wa Kagera na Mwanza wakisubiria ahadi hewa ya miaka mingi ya serikali ya kuletewa meli mpya baada ya kuzama kwa MV Bukoba, kampuni binafsi ya Uganda ya Equetorial Wild Safaris imeleta boat ya mwendo kasi ambayo kwa sasa ipo katika majaribio ziwa Victoria.
Boat hiyo itatatua kwa kiasi kikubwa adha ya usafiri ziwa Victoria na kuongeza chachu ya utalii kwa watalii wanaopitia Jinja,Entebe /Uganda kutembelea hifadhi ya Serengeti.
Boat hiyo itatatua kwa kiasi kikubwa adha ya usafiri ziwa Victoria na kuongeza chachu ya utalii kwa watalii wanaopitia Jinja,Entebe /Uganda kutembelea hifadhi ya Serengeti.