Uh! hata wewe mami una expect!! mmmmnh nice naona watoto wa decemba watakuwa wengi tu InshaAllah! Mungu akujaalie afya pamoja na mtarajiwa.
heeee bado hujafunga chapter tu?....Shishi ma dia hongera sana, wanasema mimba sio kazi, kazi kulea...kila la kheri watarajiwa wote wa JF.
My dears.....when two become one things start happening....ahahahha and at a very fast rate.....sasa nawaletea habari njema..... kuna katoto katarajiwa.....InshaAllah december!!! so mkiona nimepotea kidogo mjue nimeenda shopping!!!!)))))))))))))
Slaa ndio nani/nini?
:becky: