Nape jana kaiua sana Chadema! Kuna ulazima wa Chadema kurudi kusini tena! Kaipiga sana na kuwambia Chadema ni genge la wahuni ndio maana hawajari hata Nchi isipo tawalika! Amesema huyo alie kataa mshahara mkubwa Bungeni leo amelazimisha au pate kwenye chama masikini! Anasema dr slaa ni padre na ana fuata kanuni ya msifuate matendo yangu ila fuateni maneno yangu!
Kumbe huku ndiko kuiua CDM!