Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,315
- 7,731
Dokta: Samahani nina habari mbaya, na nyingine mbaya sana kwako
Mgonjwa: Dah! haya nieleze hizo habari mbaya .
Dokta: Majibu ya vipimo vyako yametoka. Inaonekana una masaa 24 tu ya kuishi.
Mgonjwa: MASAA 24 TU?, he sasa kuna baya zaidi ya hilo? Hilo baya sana ni lipi?
Dokta: Nilikuwa nikupe hii habari jana, lakini tulikuwa kwenye mgomo
Mgonjwa: Dah! haya nieleze hizo habari mbaya .
Dokta: Majibu ya vipimo vyako yametoka. Inaonekana una masaa 24 tu ya kuishi.
Mgonjwa: MASAA 24 TU?, he sasa kuna baya zaidi ya hilo? Hilo baya sana ni lipi?
Dokta: Nilikuwa nikupe hii habari jana, lakini tulikuwa kwenye mgomo