Yusuph Issa
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 528
- 82
Jaji mmoja katika jimbo la TENEESEE nchini marekani ameamuru mtoto alipewa jina la MESSIAH abadilishwe jina hilo kwasababu yesu kristo pekee ndio anapaswa kuitwa jina hilo,wazazi wa mtoto huyo wamesema waliamua kumuita mtoto wao jina hilo baada ya wazazi hao kutoafikiana jina gani wamuite mtoto huyo hata hivyo wazazi hao wamekata rufaa kupina uamuzi wa jaji huyo!!!!!!!!!!!