Haaaaaa haaaaaaaa haaaaaaaaaaa!!!

Haaaaaa haaaaaaaa haaaaaaaaaaa!!!

Price

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
1,502
Reaction score
922
Imetokea umepata mgeni nyumbani kwako. Kama kawaida ya ukarimu kwa wageni, ukampatia Soda, Mgeni alipofungua soda, akaona ameshinda Tsh.1000,000/=. Halafu akakuonesha kwamba ameshinda, Then anaaga aondoke... Utamfanyaje?
 
Imetokea umepata mgeni nyumbani kwako. Kama kawaida ya ukarimu kwa wageni, ukampatia Soda, Mgeni alipofungua soda, akaona ameshinda Tsh.1000,000/=. Halafu akakuonesha kwamba ameshinda, Then anaaga aondoke... Utamfanyaje?

nitamsindikiza..!
 
wakati natoa chupa namuomba na kizibo....ahahaha..yeye ni mgeni tu
 
Unakuta mgeni mwenyewe mbishi.... anang'ang'ania ya kwake peke yake

kama mimi namwachia tu...

ila mie kanuni yangu nakufungulia soda nakuwekea kwwnye glasi naondoka na kizibo na opena ili nisikupe nafasi
 
Chupa na kizibo ni vya mwenyeji. Mgeni chake soda tena ile iliyoko kwenye glass. Ebo!!
 
Hio inagawanwa pasu pasu

Unakuta mgeni mwenyewe mbishi.... anang'ang'ania ya kwake peke yake

Namwachia kwani kama sio yeye nisingenunua soda

Chupa na kizibo ni vya mwenyeji. Mgeni chake soda tena ile iliyoko kwenye glass. Ebo!!

Walahi hatoki na kitu mlangoni! Haki yake ni kubeba soda tena kwa tumbo aende zake. Hakuja kuchukua chupa wala kizibo. Hiyo bahati ni malipo ya Mungu kwa ukarimu wa mwenyeji. Ni cha aliyetoa hela akanunua soda. Promotion hizo huwa zinawalenga wanaotoa hela kununua soda si vinginevyo. Sasa kama yeye ni mbishi atachagua: aende na kizibo ila aache shingo!

Samahani wakuu, nimeandika hadi nimetoa povu utadhani ni kweli!
 
Walahi hatoki na kitu mlangoni! Haki yake ni kubeba soda tena kwa tumbo aende zake. Hakuja kuchukua chupa wala kizibo. Hiyo bahati ni malipo ya Mungu kwa ukarimu wa mwenyeji. Ni cha aliyetoa hela akanunua soda. Promotion hizo huwa zinawalenga wanaotoa hela kununua soda si vinginevyo. Sasa kama yeye ni mbishi atachagua: aende na kizibo ila aache shingo!

Samahani wakuu, nimeandika hadi nimetoa povu utadhani ni kweli!
Haaaaa haaaaa haaaaaa!!! Dah! inaonesha jinsi gani unatafuta pesa
 
itabidi nimpokonye hicho kisoda kwani ni mm niliyenunua nikamkarimia au tugawane hizo noti
Imetokea umepata mgeni nyumbani kwako. Kama kawaida ya ukarimu kwa wageni, ukampatia Soda, Mgeni alipofungua soda, akaona ameshinda Tsh.1000,000/=. Halafu akakuonesha kwamba ameshinda, Then anaaga aondoke... Utamfanyaje?
 
Back
Top Bottom