Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,284
- 39,491
Wanaume tunazidi kuwa wachache...
Kwel mkuu wanaume tunapingua daily
Wanaume tunazidi kuwa wachache...
BanahHakuna neno buana ila kuna bwana
Umesababisha mwana ka edit kabla hatujaona huo upuuzimwanaume gani anatumia hilo neno? we ni dem acha kuzuga na kama sio dem bas una tabia za kidem dem.
Hebu fafanua mkuu, ni computer hii hii tunayoijua yenye cpu au ingine?Miaka mitatu iliyopita nilikuwa nimepanga chumba mitaa Tabata kipindi nipo chuo,basi bwana kwenye hiyo nyumba kulikuwepo na mpangaji mwenzagu, Dada mmoja mzuri tu,alikuwa anauza duka la madawa Kariakoo,
Kutokana kwamba nilikuwa na mtu wangu ambaye alikuwa anakuja getto mara kwa mara,sikuwahi kumshobokea zaidi ya salamu tu,pia huwa sipendi kuwa na mchepuko maeneo yaliyo karibu na ninapoishi,
Basi ,siku moja nipo peke yangu ndani napiga msuli mida kama ya saa 5 usiku, nikasikia mlango ukigongwa ,akiri ikanituma kuwa baby wangu ameamua kuja bila taarifa,lahasha! kufunguo mlango namuona yule Dada mpangaji mwenzangu ,nikamuuliza vipi ?,huwezi kuamini Dada akashikwa na kigugumizi daah mpaka nikamuonea huruma,yaani nikaona kama anahangaika sana,nilichofanya nikamshika mkono then nikamwambia nifate huku,nikatoka nae nje kulikuwepo na mabenchi chini ya miti,lengo la kufanya hivyo ni kumpunguzia presha,baada ya dakika 2 ndo nikamuuliza vipi ulikuwa na shida gani? akanijibu anaomba nimpatie computer akaangalie movies ,OK tukarudi ndani nikampatia ,
Mpaka leo huwa najiuliza kwanini alipatwa na kigugumizi wakati huwa anaongea kawaida tu,au alijifikiria nini?
Ujumbe,wadada punguzeni uoga kwa wanaume tulio serious,
Mleta uzi amekuwa na utoto mwingi sanaMbona sijaona alichoogopa hapo ama nina mawenge
Hahaa ni kweli mkuu,angevaa kanga moko ningeelewa,tatizo alikuja kavaa kama anaenda church nikafikir labda kaingiliwa na panya au nyoka ndani kwakeKujihisi kubaya sana. Wako wanawake ambao hawajitambui kama maumbile yao huleta mgogoro kwa wanaume. Mathalani, wako wale ambao kuvaa dressing night, iliyo wazi au kanga moja, au tight wao ni sawa tu. Ofcoarse ni kama watoto wasiolewa miili yao (ingawa si wote).......nyie mkikutana na wenye macho ya kurembua mtabaka hahahaha!
Usitujuamuishe tafadhali. Kwanini umefunga PM kulikoni?mecheka
Kuna mkaka jirani yangu nae ukiwa unaongea nae mara alambe lips, halafu anajipenda sana
Nilichoka anapoanza kuchat anaweza nitumia " niache bab eeh
Au emoj za
Wanaume wa siku hizi mmmh![]()
HufaiKuna sku npo ghetto kama saa 4,demu mmoja mpangaj mwenzangu akaja kuniambia usiku mwema Fulani, wakat alkuwa hanaga kawaida ya kufanya hvo,afu alkuja na nguo ya kulalia,nkaitikia usku mwema pia,akaondoka kwenda kulala,nazan aliniona boya alitegemea maongez zaidi
Diana balaa lako kubwa sana, Mungu tu akuzidishie.mecheka
Kuna mkaka jirani yangu nae ukiwa unaongea nae mara alambe lips, halafu anajipenda sana
Nilichoka anapoanza kuchat anaweza nitumia " niache bab eeh
Au emoj za
Wanaume wa siku hizi mmmh![]()
Lipi hilo mkuu?Diana balaa lako kubwa sana, Mungu tu akuzidishie.
Nimefanya siri ila jua tu kama balaa lako ni kubwa sana! Kwanza hongera kwa picha hapo juu.Lipi hilo mkuu?
Teh ...Mlikutana waoga wote![]()