Haaaa! Kuna wadada waoga

Haaaa! Kuna wadada waoga

Alinizidi miaka takribani sita,then niliogopa kuoa mapema,najua tungefika mbali sana
We huoni kuwa wote ni waoga.... Ulishindwa nini kumuingiza ndani kwako mpaka umpeleke nje? au
 
mwanaume gani anatumia hilo neno? we ni dem acha kuzuga na kama sio dem bas una tabia za kidem dem.
mecheka

Kuna mkaka jirani yangu nae ukiwa unaongea nae mara alambe lips, halafu anajipenda sana

Nilichoka anapoanza kuchat anaweza nitumia " niache bab eeh

Au emoj za

Wanaume wa siku hizi mmmh
 
Miaka mitatu iliyopita nilikuwa nimepanga chumba mitaa Tabata kipindi nipo chuo,basi buana kwenye hiyo nyumba kulikuwepo na mpangaji mwenzagu, Dada mmoja mzuri tu,alikuwa anauza duka la madawa Kariakoo,

Kutokana kwamba nilikuwa na mtu wangu ambaye alikuwa anakuja getto mara kwa mara,sikuwahi kumshobokea zaidi ya salamu tu,pia huwa sipendi kuwa na mchepuko maeneo yaliyo karibu na ninapoishi,

Basi ,siku moja nipo peke yangu ndani napiga msuli mida kama ya saa 5 usiku, nikasikia mlango ukigongwa ,akiri ikanituma kuwa baby wangu ameamua kuja bila taarifa,lahasha! kufunguo mlango namuona yule Dada mpangaji mwenzangu ,nikamuuliza vipi ?,huwezi kuamini Dada akashikwa na kigugumizi daah mpaka nikamuonea huruma,yaani nikaona kama anahangaika sana,nilichofanya nikamshika mkono then nikamwambia nifate huku,nikatoka nae nje kulikuwepo na mabenchi chini ya miti,lengo la kufanya hivyo ni kumpunguzia presha,baada ya dakika 2 ndo nikamuuliza vipi ulikuwa na shida gani? akanijibu anaomba nimpatie computer akaangalie movies ,OK tukarudi ndani nikampatia ,

Mpaka leo huwa najiuliza kwanini alipatwa na kigugumizi wakati huwa anaongea kawaida tu,au alijifikiria nini?

Ujumbe,wadada punguzeni uoga kwa wanaume tulio serious,
Basi *buana* ndio nini? Au mwenzetu sio riziki?
 
mecheka

Kuna mkaka jirani yangu nae ukiwa unaongea nae mara alambe lipis, halafu anajipenda sana

Nilichoka anapoanza kuchat anaweza nitumia " niache bab eeh

Au emoj za

Wanaume wa siku hizi mmmh
Mimi sipo hivyo,I'm real men
 
Huo sasa ndo uoga wenyewe kijana....... Mwanaume hana uoga wa kitoto hivyo btw itakuwa bado upo shule ya msingi au sekondari
Alinizidi miaka takribani sita,then niliogopa kuoa mapema,najua tungefika mbali sana
 
Huo sasa ndo uoga wenyewe kijana....... Mwanaume hana uoga wa kitoto hivyo btw itakuwa bado upo shule ya msingi au sekondari
Hapana mkuu,ni degree holder tena ya miaka 5
 
Nilivyoona kichwa cha habari nikajua kabla haujaingiza kichwa yeye ashaanza kupiga makelele na kuizuia kwa mikono yake isiguse mashavu.
 
Ungekuwa karibu alafu ndio unanipigia hiyo story ningekuzaba kofi moja tu akili ikukae sawa
 
Wewe ndio mwoga kwanini hukumpa computer og aone movies mwenzake anaonaga.
 
Miaka mitatu iliyopita nilikuwa nimepanga chumba mitaa Tabata kipindi nipo chuo,basi bwana kwenye hiyo nyumba kulikuwepo na mpangaji mwenzagu, Dada mmoja mzuri tu,alikuwa anauza duka la madawa Kariakoo,

Kutokana kwamba nilikuwa na mtu wangu ambaye alikuwa anakuja getto mara kwa mara,sikuwahi kumshobokea zaidi ya salamu tu,pia huwa sipendi kuwa na mchepuko maeneo yaliyo karibu na ninapoishi,

Basi ,siku moja nipo peke yangu ndani napiga msuli mida kama ya saa 5 usiku, nikasikia mlango ukigongwa ,akiri ikanituma kuwa baby wangu ameamua kuja bila taarifa,lahasha! kufunguo mlango namuona yule Dada mpangaji mwenzangu ,nikamuuliza vipi ?,huwezi kuamini Dada akashikwa na kigugumizi daah mpaka nikamuonea huruma,yaani nikaona kama anahangaika sana,nilichofanya nikamshika mkono then nikamwambia nifate huku,nikatoka nae nje kulikuwepo na mabenchi chini ya miti,lengo la kufanya hivyo ni kumpunguzia presha,baada ya dakika 2 ndo nikamuuliza vipi ulikuwa na shida gani? akanijibu anaomba nimpatie computer akaangalie movies ,OK tukarudi ndani nikampatia ,

Mpaka leo huwa najiuliza kwanini alipatwa na kigugumizi wakati huwa anaongea kawaida tu,au alijifikiria nini?

Ujumbe,wadada punguzeni uoga kwa wanaume tulio serious,
Dah! Kweli tunadharaulika kutokana na wenzetu wachache! Sasa ndio nini hiki? Badala ya kuingia nae ndani kumpa kimoja cha fasta umetoka nae nje wakati mtu mwenyewe ni muuzaji wa dawa, kwani inamaana hajui dawa za kushusha presha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom