Kwa kutumia akili ndogo. Wewe unaweza kumuomba mwanamke computer uangalie movie kwa muda huo? Kijana ulifeli mtihaniBasi ,siku moja nipo peke yangu ndani napiga msuli mida kama ya saa 5 usiku, nikasikia mlango ukigongwa ,akiri ikanituma kuwa baby wangu ameamua kuja bila taarifa,lahasha! kufunguo mlango
Mbona sijaona alichoogopa hapo ama nina mawenge

Kama Baba Kelvin keaganmwanaume gani anatumia hilo neno? we ni dem acha kuzuga na kama sio dem bas una tabia za kidem dem.
Aisee,asante kwa ushauriKwa kutumia akili ndogo. Wewe unaweza kumuomba mwanamke computer uangalie movie kwa muda huo? Kijana ulifeli mtihani
Mwanamke anatumia body language zaidi kueleza hisia zake. Katika wanawake 100 watakaokutamkia wanakupenda ni 1 au 2. Kwanza mwenyewe alishangaa ndiyo maana alibaki anababaika. Tafuna ujenge urafiki. Ukitafuna wanawake wengi hata siku unakutana nao unaaslimia kubwa sana ya kupewa mechi hata kama atakuwa ni mke wa mtu.
UMENIANGUSHA SANA
Sio kila chakula chafaa kuliwa,Nia yake ni kuingizwa ndani ghetto ila Jamaa kamkosea akamtoa Nje kwenye mti
Huyo genye zilimsumbua akaona potelea mbali ngoja nirisk lakini mipango ikabaunce
Angeshika mkono tu kuvuta Ndani alikuwa amesharowa kabisa
Hapa kazi tu

au
Niliogopa kitu gani,?
Angekuwa hivyo asingekuja kwako. Alijua unaweza kumsaidia na ndio maana akakuamini kuja kwako usiku saa 5. Unaogopa kumvunjia heshima wakati yeye hakuogopa kuvunjiwa heshima?Hapana mkuu,niliogopa kumvunjia heshima,alikuwa aged than me