ha haaa haaaaa!!

ha haaa haaaaa!!

Emanuel Makofia

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2010
Posts
3,832
Reaction score
637
balo.jpg

inachekesha sana
 
jamaa, jana alibakia kuwa kama teja...hahahahaa..;(
 
natamani nijue hicho kichekesho

madameX yaani kutizama kwako hujagundua chochote katika picha hiyo!
Mtizame Baloteli bukta yake na macho yake yanatizama wapi badala ya Mpira!
 
madameX yaani kutizama kwako hujagundua chochote katika picha hiyo!
Mtizame Baloteli bukta yake na macho yake yanatizama wapi badala ya Mpira!

Duuh mna macho nyie, kapicha kadogo hako mmeweza kuyaona yote hayo
 
kwiiiii kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,waaaaaaaaaaaaaaa walimtegeza kweli ili washinde
 
Madamex usishangae sana, ndio fikra na mawazo yao yalipolala. Sodoma na Gomora ndiyo hii bado moto tu, puuuuuuuuuuuuu.
 
Back
Top Bottom