Gymnasium Schools

Darwin

JF-Expert Member
May 14, 2008
908
56
locality for both physical and intellectual education of young men

Huwa najiuliza,
Kwanini Tz au nchi nyingi za Africa hazina mfumo huu?

Kuna watoto wengine ni smart sana mashuleni na mwalimu akifundisha japo dakika tano tu mwanafunzi ameshaelewa kabisa kinachofundishwa, huku akiwashangaza wanafunzi wenzake ambao hata kwa lisaa lizima lakini bado hawajaelewa.

Kwanini Tz hakuna Gymnasium Schools?
Shule ambazo wanafunzi wanakwenda wenye vipaji tu, na hawana muda wakupoteza kukaa miaka na miaka kwenye madarasa ya wanafunzi wakawaida.

Hii inasaidia mwanafunzi toka mwanzo anajua atachosoma ninini baadae.


Mwisho naomba radhi kama hii post nimeiweka pasipohusika.
 
Hizi sio zile vipaji maalum Mungai alitaka kuzifutilia mbali? Kibaha, Mzumbe, Ilboru, Tabora School e.t.c? Au sijakuelewa?
 
locality for both physical and intellectual education of young men

Huwa najiuliza,
Kwanini Tz au nchi nyingi za Africa hazina mfumo huu?

Kuna watoto wengine ni smart sana mashuleni na mwalimu akifundisha japo dakika tano tu mwanafunzi ameshaelewa kabisa kinachofundishwa, huku akiwashangaza wanafunzi wenzake ambao hata kwa lisaa lizima lakini bado hawajaelewa.

Kwanini Tz hakuna Gymnasium Schools?
Shule ambazo wanafunzi wanakwenda wenye vipaji tu, na hawana muda wakupoteza kukaa miaka na miaka kwenye madarasa ya wanafunzi wakawaida.

Hii inasaidia mwanafunzi toka mwanzo anajua atachosoma ninini baadae.


Mwisho naomba radhi kama hii post nimeiweka pasipohusika.


Habari ya Moshi bwashehe!
 
Hizi sio zile vipaji maalum Mungai alitaka kuzifutilia mbali? Kibaha, Mzumbe, Ilboru, Tabora School e.t.c? Au sijakuelewa?

A state-maintained secondary school that prepares pupils for higher academic education. This type of nine-year school originated in Europe. Though the usual graduation age is 19 or 20, pupils may terminate their studies at age 16 and enter a vocational school.
 
Back
Top Bottom